Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*PROFESA SOSPETER MUHONGO ASAINI MKATABA WA MRADI WA KUUZIANA UMEME KATIA YA...

WAZIRI wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo jana ametia saini Mkataba wa Mradi kujenga Miundombinu ya kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya (ZTK) katika Mkutano  wa Kumi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MKUTANO WA KIMATAIFA WA TEKINOLOJIA YA MAWASILIANO WAANZA JIJINI DAR

Mkurugenzi wa Kampuni ya Tekinologia ya Huawei Tanzania, Vincent Wen(kushoto) akizungumza na washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa Tekinolojia ya Mawasiliano ulioanza jana katika Hoteli ya Bahari Beach...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MSAFARA WA KINANA WASAFIRI KWA BAISKELI MILIMA YA USAMBARA KWENDA...

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa na viongozi, waandishi wa habari pamoja na wananchi wakiendesha baiskeli kwenda Kata ya Mg'aro katika mteremko wa milima ya Usambara, akitokea Lushoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MSIKILIZE MWANAMAMA 'POWER BLACK NYATI 'Jike Jeuri',KATIKA AUDIO YA...

Karibuni katika kusikiliza AUDIO ya Mahojiano na Mwanamama Maisara Juma Salah a.k.a Power Black Nyati 'Jike Jeuri', Kiboko wa Wanaume aeleza mengi kuhusu utumiaji wa nguvu zake, kama kuzuwia pikipiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

* RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI BARABARA YA MWENGE-TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta  leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa barabara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAJAJI WAENDESHA MAHAKAMA YA WAZI KUSIKILIZA NA KUPOKEA MALALAMIKO YA...

 Jaji Mh. Richard Mziray Akitoa Hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

* WAZIRI MKUU PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BRN DODOMA.

 Pinda awataka ma-RC, DC kwenda na kasi ya BRNNa Mwandishi Wetu, DodomaWaziri Mkuu, Mizengo Peter Pinda amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuendana na kasi ya Mpango wa MATOKEO Makubwa Sasa (BRN)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

* IPTL YAIMWAGIA TASWA MILIONI 20 KUANDAA TUZO ZA WANAMICHEZO.

Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Sigh Seth (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 20 kwa Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

* TIMU YA MPIRA WA PETE YA IKULU YAWAPA KICHAPO UKAGUZI

 Wachezaji wa timu ya mpira wa pete ya Ikulu wakiwa wamejipanga tayari kuanza mechi yao dhidi ya timu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali uliochezwa leo uwanja wa Jamhuri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA ZANCHICK.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Kiongozi wa Kampuni ya ZANCHICK inayojishuhulisha na biashara ya Kuuza  Kuku  (Perdue)kutoka Marekani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KIKAO CHA KAZI RAIS KIKWETE KUWA MGENI RASMI

 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Ndg. Jumanne A. Sagini akizungumza katika kikao kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi kinachofanyika katika ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MBUNGE MGIMWA AKIJUMUIKA NA WAPIGA KURA WAKE KWA KUCHEZA BAO .

Mbunge  wa  jimbo la kalenga Godfrey Mgimwa  kushoto akicheza  bao na mpiga  kura wake Yohanes Chotelo wa kijiji cha Kiponzero baada ya  mbunge  huyo kumaliza  ziara  yake  katika  kijiji  cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*NSSF YACHANGIA VIFAA VYA ICU HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI.

Ofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Jumanne Mbepo (kulia), akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 20 Mkurugenzi  Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk. Marina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TANZANIA YAWA MWENYEJI MKUTANO MKUU WA KWANZA WA UMOJA WA VYUO VYA USAFIRI...

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi , Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Mbwana . J. Mbwana akisalimiana na Rais wa  Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika(AATO) Tchagbele Sadamba  wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UZINDUZI WA REDIO JAMII UVINZA: MKUU WA MKOA AHIMIZA WELEDI, UADILIFU NA...

Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mwalimu Hadijah Nyembo (kulia) akitoa nasaha zake kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya (wa pili kulia) kuzungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU CLUB MAISHA JIJINI DAR.

  Waimbaji wa Twanga Pepeta wakitoa burudani kwenye shoo yao iliyofanyika club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo.  Kiongozi na mwimbaji  wa bendi ya 'Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akiimba  moja ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KAMPENI YA HAKI YA UCHUMI KATIKA MASWALA YA KILIMO YAENDESHA MDAHALO WA...

 Meneja wa Kampeni haki ya Uchumi kutoka Oxfam Eluka Kibona akifungua Mdahalo huo na mafunzo juu ya Kujenga hoja ya upatikanaji wa Chakula na haki ya chakula, Kufuatilia upatikanaji wa haki kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA AUNGURUMA PANGANI,TANGA.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Mwera, wilayani Pangani, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RHAPOSDY'S @ VIVA TOWER IS THE ONLY PLACE TO BE THIS SATURDAY!.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DICOTA 2014 CONVETION DURHAM, NORTH CAROLINA.

 Wadau mbalimbali wakiwasili kwenye hotel ya Millennium Durham tayari kwenye DICOTA 2014 utakaoanza rasmi Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye mji wa Durham jimbo la North Carolina mkutano utamalizika siku ya...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>