Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BALOZI IDDI AKUTANA NA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA ASHA-ROSE, BALOZI MTEULE...

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na Waziri wa Sheria na Katiba wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Asha – Rose Migiro...

View Article


*ARSENAL v/s MANCHESTER HAKUNA MBABE

Arsenal0 - 0     Manchester UnitedUpdate in 4"Barclays Premier League: TableHome News Photos Live Fixtures / Results Table Top Scorers Teams Fantasy FootballFull Table  Best Attack  Best Defence  Home...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UJIO WA "ALOYSON TV"

 UJIO NA UTAMBULISHO WA "aloysonTv"www.youtube.com/aloysontvITAZAME VIDEO HII HAPA CHINIaloyson.com Inapenda kuitambulisha "aloysonTv" itakayokuwa ikiwakusanyia na nkuwaletea matukio ya picha mwendo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA UHAMASISHAJI NA UWEKEZAJI...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye ukumbi wa Mkutano huo katika Hoteli ya Malaika Beach Resort, kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*OKWI SASA RUKSA KUKIPIGA YANGA, SIMBA NA DENI LAO KUSUBIRI MANUSURA YA FIFA

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, aliyejiunga na Klabu ya Yanga katika msimu wa dirisha dogo, aliyekuwa na vipingamizi na FIFA na Shirikisho la Soka nchini TFF, Emmanuel Okwi, sasa ni mchezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TWIGA STARS YATUA LUSAKA, YAAHIDI KUPAMBANA KUFA NA KUPONA

KIKOSI cha wachezaji 19 wa Twiga Stars kimetua Lusaka, Zambia leo(Februari 13 mwaka huu) huku Kocha Mkuu Rogasian akiahidi ushindani kwenye mechi dhidi ya wenyeji itakayochezwa Uwanja wa Nkoloma.Kocha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MZEE MWINYI AIFAGILIA TAASISI YA AGA KHAN

RAIS Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi ameipongeza Taasisi ya Aga Khan kwa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia Jamii ya Watanzania kimaendeleoPia, amesema maonyesho ya Aga Khan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WATATU WAHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI YA CCM MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Edward Lowasa akizungumza na Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye kabla ya kuanza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*EXTRA BONGO YANYOFOA WAKALI WAWILI TWANGA PEPETA

Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo Ally Choki.***************************************Na Mwandishi WetuUONGOZI wa wakali wa muziki wa dansi nchini Extra Bongo Next Level Wazee wa Kimbembe umemrejesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TIB NA DBSA ZAINGIA MKATABA KUKOMBOA SEKTA YA UCHUKUZI NCHINI

 Mkurugenzi wa Mipango Mikakati wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB Development Bank), Jaffar Machano akifungua mkutano huo wa hafla ya utiaji saini mkataba wa makubaliano.***********************Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA...

Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama, akitoa mafunzo ya maadili na jinsia kwa waandishi wa habari na watangazaji wa Redio za Jamii nchini yanayolenga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MIJADALA YAENDELEA KONGAMANO LA 9 LA CTO LA MABADILIKO YA MFUMO WA...

 Mkuu wa Huduma za Utangazaji na Mawasiliano ya redio kutoka Shirika la Utangazaji la Kimataifa (ITU), Pham Nhu Hai akiwasilisha mada katika kongamano hilo.  Mjadala ulifautiliwa kwa umakini na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA...

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Fadhili  Manongi  na   Mkurugenzi Msaidizi wa  Mamlaka ya Usafiri wa  Anga wa China (CAAC) Li Jian  wapili (kulia) wakisaini mkataba wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TIC YASAINI MIKATABA YA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA...

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki (katikati) akisaini Mikataba ya Makubaliano ya Uwekezaji na Wakuu wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa ,wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*PRESIDENT KIKWETE AT CCN's INTERVIEW IN LONDON

 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete shake hands with CCN's Reporter  Christiane Amanpour shortly after an exclusive interview at CNN's London Studios this evening. During an interview on Illegal...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RWANDA AIR YATOA SEMINA KWA MAWAKALA WA MASHIRIKA YA NDEGE

Meneja wa Rwanda Air, Kanda ya Kusini, Hafeez Balogun akitoa mada wakati wa semina kwa ajili ya mawakala wa mashirika ya ndege iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Meneja Mauzo wa Rwanda Air, Dhruv...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KONGAMANO LA UWEKEZAJI LAENDELEA JIJJINI MWANZA

 Mwenyekiti wa Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa,Mh. George Kahama (liesimama) akitoa muongozo wa namna vikao vitakavyokuwa vinaendelea kufanyika katika kumbi mbali mbali ndani ya Hoteli ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA KAMPASI YA DAR CHAENDELEA KUFANYA VIZURI, CHAWEKA...

 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Janet Mbene (katikati) akiwa ameongozana na Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema (kulia) mara baada ya kukitembelea chuo hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*REDIO NYINGI HAZINA HABARI ZA USAWA WA KIJINSIA -UMOJA WA MATAIFA

MshehereshajiMeneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania( MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani Dodoma....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MTANANGE WA TWIGA STARS v/s ZAMBIA KURUSHWA ‘LIVE’ ZNBC LEO

Na Boniface Wambura MgoyoKikosi cha Twiga Stars kinashuka Uwanja wa Nkoloma, Lusaka nchini Zambia leo kuwavaa wenyeji Zambia (Shepolopolo) katika mechi ya mchujo ya Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC)...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live