Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*BENKI YA BARCLAYS YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA KAMPENI ZA MAISHA BOMBA NA DOUBLE YOUR SAVINGS

$
0
0
 Ofisa wa Benki ya Barclays Tanzania, Valence Luteganya (katikati) kikabidhi mfano wa hundi ya shs milioni moja kwa mmoja wa washindi wa droo ya pili ya promosheni ya ‘Double your Savings ’ ya benki hiyo, Anthony Noah Mwakyombe ,  jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Maalumu wa Benki ya Barclays, Neema Rwehumbiza.
 Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Maalumu wa Benki ya Barclays, Neema Rwehumbiza (katikati) akikabidhi mfano wa hundi ya shs milioni 10 mshindi wa zawadi kubwa ya kampeni  ya “Maisha Bomba na Barclays Golden Briefcase” Bi. Moza Ally Mohamed huku  Ofisa wa benki hiyo, Valence Luteganya akishuhudia jijini Dar es Salaam leo.  
 Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Maalumu wa Benki ya Barclays, Neema Rwehumbiza (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya shs milioni moja kwa mmoja wa washindi wa droo ya pili ya promosheni ya ‘Double your Savings ’ ya benki hiyo, Anarido Charles Kilinda, jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Ofisa wa benki hiyo, Valence Luteganya.
 Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Maalumu wa Benki ya Barclays, Neema Rwehumbiza (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya shs milioni moja kwa mmoja wa washindi wa droo ya pili ya promosheni ya ‘Double your Savings ’ ya benki hiyo, Abdulkadir Issack, jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Ofisa wa benki hiyo, Valence Luteganya.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>