Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MESSI AMZAWADIA KADI NYEKUNDU DEMICHELIS, MAN CITY IKIKUBALI KICHAPO CHA...

Beki wa Man City, Martin Demichelis, alipoigharimu timu yake kwa kuzawadiwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Leo Messi.Martin Demichelis akipewa kadi nyekundu...... Akipokelewa nje ya uwanja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TAHADHARI YA MVUA KUBWA FEB 19-21/2014

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA UCHUKUZIMAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIASimu: 255 22 2460735/2460706FAKSI: 255 22 2460735/2460700 S.L.P. 3056Barua pepe: met@meteo.go.tz DAR ES SALAAMTovuti:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KWA MARA YA KWANZA SASA MSHINDI WA MISS TANZANIA 'BEAUTY CONTEST USA' KUTUA...

Kwa mara ya kwanza sasa mshindi wa shindano la 'USA Beauty  Contest' kutua nchini kushiriki Fainali za shindano la Redd's Miss Tanzania 2014.  Washindi watakaoshika nafasi tatu za juu, kutoka kila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WADAU WAOMBWA KUDHAMINI MAONYESHO YA KAZI ZA VIJANA WAJASIRIAMALI...

Bw Jackson Audiface Akielezea Kuhusu Maonyesho hayo Yatakayofanyika Mkoani Dodoma wakati wajasiriamali hao walipotembelea Ofisi za Kampuni ya Aj It Development Kwa ajili ya kujisajili ili kushiriki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KASEBA NA MASHALI WASAINI MKATABA WA KUZICHAPA MACHI 29 UKUMBI WA PTA

 Mabondia Thomas Mashali (kushoto) na Japhet Kaseba wakitambulishwa na Promota wa pambano lao baada ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kucheza  pambano lao la ubingwa wa Mabaara wa 'Universal Boxing...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BENKI YA BARCLAYS YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA KAMPENI ZA MAISHA BOMBA...

 Ofisa wa Benki ya Barclays Tanzania, Valence Luteganya (katikati) kikabidhi mfano wa hundi ya shs milioni moja kwa mmoja wa washindi wa droo ya pili ya promosheni ya ‘Double your Savings ’ ya benki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WITO WA BALOZI ZISAIDIE KUUTANGAZA UTAMADUNI WA MTANZANIA

Msanii aliyetamba enzi hizo kwa umahili wake wa kuchea na nyoka Salma Moshi akisalimiana na kumkabidhi picha za baadhi ya kazi ya sanaa hiyo aliyofanya enzi hizo Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WATAALAMU CHUO KIKUU WATOA RIPOTI YA UZIMAJI WA MITAMBO YA ANALOJIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAMAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIATAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIUZIMAJI MITAMBO YA MFUMO WA UTANGAZAJI WA ANALOJIA AWAMU YA PILI1.0  UTANGULIZIMamlakaya Mawasiliano imepokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MATUKIO YA JIJINI DAR LEO BAADA YA RASHARASHA ZA MVUA

 Gari aina ya Isuzu likiwa limeanguka kwenye mtaro pembezoni mwa barabara ya Makongo eneo la Lugalo, haikuweza kufahamika kwa haraka chanzo cha ajali hiyo, lakini kubwa ikiwa ni utelezi katika eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMA ASHA BILAL AFUNGUA TAMASHA LA MWANAMKE NA AKIBA JIJINI DAR

 Mgeni rasmi Mke wa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilali, akikata utepe kuzindua rasmi Tamasha la Mwanawake weka akiba,wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

* KAZI NI KAZI ILIMRADI MKONO UENDE ............THE LADIES WAKALI WA...

 Ujasiriamali ni jambo lililojema miongoni mwa jamii. Watu wengi wamekuwa wakilalamika kukosa kazi za kufanya ili kuweza kujipatia kipato na kuacha kuwa tegemezi kwa wazazi au waume na hata wakati...

View Article

*UJUMBE MAALUM KUTOKA KWA BALOZI LIBERATA MULAMULA KWA WATANZANIA WAISHIO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAFUNZO YA TEHAMA KWA SIMU ZA MKONONI YASISITIZWA KUKUZA DEMOKRASIA VIJIJINI

Mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya Kilombero, Hassan Masala, akifungua mafunzo ya matumizi ya simu kwa habari katika ukumbi wa Mazingira Kibaoni, Ifakara 03 Februari 2014 yanayolenga kukuza taaluma ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

* HONEY KAUR MAIR AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA VALENTINES DAY SPECIAL

Honey akiwa amepozi pembeni ya kikapu maalum cha wapendanao, kilichosheheni zawadi mbali mbali.**************************************************Na.Mwandishi wetuHoney Kaur Mair, ni msichana mwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU MWENYEKITI WA CCM BARA PHILIP MANGULA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO...

Makamu wa ccm bara MH.Philip Mangula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watanzania wanaosoma na kufanya kazi nchini China katika mji wa Beijing baada ya kukutana nao kwa kikao kifupi katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WARSHA YA KWANZA YA WADAU WA MFUKO WA MISITU TANZANIA INAYOFANYIKA MKOANI...

Bango linalo onesha warsha ya kwanza ya Wadau wa Mfuko wa Misitu Tanzania Wadau mbalimbali wa Misitu wakiwa katika warsha hiyo mjini Morogoro ****************************Mfuko wa Misitu Tanzania ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WATOTO MAPACHA WALIOTENGANISHWA NCHINI INDIA WAREJEA JIJINI DAR

 Watoto mapacha kutoka wilayani Kyela mkoani Mbeya waliokuwa wamepelekwa na serikali chini ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kufanyiwa upasuaji mkubwa wa kuwatenganisha wakiwasili nchini Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UFAFANUZI KUHUSU HABARI ZILIZOCHAPISHWA KWA LENGO LA KUUPOTOSHA UMMA KUHUSU...

Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Mjema akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu habari za upotoshaji zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SERIKALI YASEMA ITAENDELEA KUSIMAMIA AMANI BARA LA AFRIKA, YAPELEKA JESHI...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu masulala mbalimbali ya uhusiano wa kimataifa ikiwamo hatua zinazochukuliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS A ZANZIBAR DKT. SHEIN AKUTANA NA WAZIRI WA BIASHARA ZA NJE WA UHOLANZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Biashara za Nje wa Uholanzi Bibi Lilianne Ploumen, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wa...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>