Wakazi wa Mji wa Mtwara, wakiwa katika mnada wa kununua Samaki katika ufukwe wa Bahari ya Hindi kwa ajili ya nao kwenda kuuza reja reja kwa wateja wao kama walivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto hivi karibuni.
Mnada wa Samaki ukiendelea pande hizo...
Biashara zikiendelea..