Naombeni msaada MABLOGER WENZANGU kuna mtu anaitwa Hansey Harrison/Hansey Harisonanatumia account mbili kwenye facebook nazo ni https://www.facebook.com/hansey.harrison?fref=ts
na https://www.facebook.com/hansey.harison?fref=ts kanihack na pia anawatumia watu wangu sms kama ni mimi na kunichafulia kwenye account yangu ya facebook inayoitwa https://www.facebook.com/geofrey.adroph?ref=tn_tnmn na pia ananisumbua sana kikubwa nilikuwa nawaombeni mablogger wenzangu kuipublishi kwenye blog zenu ili iwe fundisho kwa wengine naombeni sana mnisaidie kwa hili ili iwe fundisho kwa wengine wanaotaka kuwachafua watu na pia namba yake ya simu ni 0712053949. HIZO JUU NI PICHA ZAKE
NI MIMI GEOFREY ADROPH WA PAMOJAPURE BLOG