Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mwanachama mwenzetu wa TASWA, ambaye ni mwandishi wa habari wa gazeti la Daily News, Nelly Mtema amefiwa na mumewe usiku wa kuamkia leo. Msiba upo nyumbani kwake Kimara Matangini. Tutaendelea kupeana taarifa ya msiba huo.
Ahsanteni.
Katibu Mkuu TASWA