Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*KATIBU MKUU WA YANGA AFARIKI DUNIA LEO

$
0
0
Katibu mkuu wa zamani wa Yanga, George Mpondela amefariki dunia.

Taarifa zinaeleza Mpondela aliyekuwa maarufu kama Castro amefariki dunia leo kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Uongozi wa Yanga umedhibitisha kuhusu kifo cha Mpondela ingawa imeelezwa taarifa rasmi itatolewa na familia yake jijini Dar es Salaam ili watu wajue wapi ulipo msiba na taratibu za mazishi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>