Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*THOMAS MASHALI, MADA MAUGO WASAINI MKATABA KUZICHAPA NANE NANE UWANJA WA TAIFA

$
0
0
Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi' (katikati) akiwainua mikono juu mabondia Mada Maugo (kushoto) na Thomas Mashali,  baada ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kupambana Sikukuu ya Nanenane (8/8/2014) katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam wakati wa tamasha la usiku wa matumaini lililoandaliwa na kampuni ya Global Publisher.
Mabondia Mada Maugo na Thomas Mashali wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kupambana Agost 8 katika uwanja wa Taifa Dar es salaam wakati wa Tamasha la matumaini siku ya Sikukuu ya Nanenane.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles