Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*MWIGULU NCHEMBA ALIVYOLITEKA JIJI LA MWANZA

$
0
0
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, akiwasili kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, kuhutubia mkutano wa hadhara, uliofanyika leo jioni. Katika Mkutano huo, Mwigulu amezungumzia mambo mbalimbali ikiwemo, umuhimu wa wanasiasa na Watanzania kwa jumla kutolifanyia mzaha suala la mchakato wa Katiba mpya akivitaka vyama vya upinzani kuthamini zaidi vikao vya Bunge la Katiba ili kukamilisha mchakato huo kwa mazungumzo na mjadala uliojaa hekima badala ya kwenda mitaani kusumbua wananchi.
 Mwigulu akisalimia wananchi kwenye Uwanja huo.
 Mwigulu akuhutubia wananchi kwenye Viwanja hivyo vya Furahisha jijini Mwanza.
Wananchi kwenye mkutano huo.Picha zote na Ofisi ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles