Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*BREAKING NEEEEEWZ!!!!! MKURUGENZI WA TBS AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA

$
0
0
Aaliye kuwa Mkurugenzi wa Shirika la viwango Tanzania TBS Bw Charles Hekelege, ametiwa hatiani na kufungwa miaka mitatu jela baada ya kukutwa na kosa la kuhujumu uchumi. Hekelege amefungwa jumla ya miaka mitatu jela kwa makosa matatu kila kosa moja mwaka mmoja kwa maana hiyo atatumikia mwaka moja gerezani.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>