Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*MAMA SALMA KIKWETE AKIPOKELEWA NACHINGWEA JANA

$
0
0
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akisalimiana na baadhi ya wanachama wa CCM mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ,ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) akivishwa skafu na  kijana  wa chipukizi wa Chama cha Mapinduzi  wakati alipowasili katika  wilaya ya Nachingwea  kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifurahia jambo na baadhi ya wanachama cha Mapinduzi  mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akisalimiana na baadhi ya wanachama wa CCM mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akisalimiana na baadhi ya wanachama wa CCM mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho. Picha na Magreth Kinabo- maelezo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>