Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*HELKOPTA YAANGUKA KIPUNGUNI DAR NA KUWAKA MOTO, YAUA

$
0
0
 Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Helkopta inayosemekana kuwa inamilikiwa na Tanapa imeanguka huko maeneo ya Kipunguni, na kuuwa watu wote wanne waliokuwa wakisafiri na helkopta hiyo.
Mashuhuda wakiwa eneo la tukio.

Helkopta inayosemekana inamilikiwa na TANAPA imeanguka na kuteketea kwa moto katika eneo la Kipunguni B Ukonga jijini Dar es Salaam leo asubuhi. 
Kwa mujibu wa mashuhuda, wamesema waliona helkopta hiyo ikipoteza uelekeo na badaye kuanguka chini hali iliyosababisha kishindo kikubwa baada ya kulipuka moto. 
Inasemekana ndani ya helkopta hiyo kulikuwa na watu wanne ambao wote wameripotiwa kufariki dunia.
Aidha imeelezwa kuwa katika ajali hiyo kulikuwamo na Askari 3 na rubani.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>