Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*WAMEONA KAMA HATUWAELEWI WAKIANDIKA 'KIKRISTU' YAANI KINGEREZA SASA WAMEAMUA KUTRANSLATE KATIKA GOOGLE ILI TUWAELEWE KWA 'KIZARAMO' YAANI KISWAHILI MSOME BINTI HUYU ANAVYOJITAHIDI KUNIINGIZA KWENYE 18 ZAKE

$
0
0
  • Hawana Lolote Mabinti hawa ni wezi tu, tena wa kimataifa Enyi Vidume kaeni chonjo mkiingia King tu mtalia kilio cha mwaka, kwani wanajitahidi kuwa karibu nawe na kadri mnavyozidi kuchati anagundua 'Life' yako kwa ukaribu zaidi na mwisho wa siku atakuomba umtumie Nauli ama Account No, yako ili 'kushea' dili la pesa na atajitambulisha kuwa ni Mtoto wa Kigogo fulani nchini kwao aliyeuawa kutokana na machafuko na akaachiwa yeye urithi wa pesa zote za benkI. Na atakuomba ili umtumia akaunti yako ili kuhamishia pesa hizo katika Akaunti yako ili baadaye aweze kutoroka katika kambi ya wakimbizi anayoishi na kuja nchini kwako kukutafuta ili mgawane pesa hizo, na ukifanya hayo yote ujue umeumia. 
    • Huyu pia alijitambulisha kwa Jina hilo hilo la Favour.
    • Huu ni Ushauri tu wa bure kutoka mtandao huu wa www.sufianimafoto.com, ukipuuza basi utakapokutana na mdada mrembo kama huyu katika mtandao na kukumba hayo yote basi wewe tuma halafu utakuja kutusimulia mwisho wa mchezo, Thanks Wadau wangu wa nguvu. Ninayo mifano mingi na picha za madada hawa wengi tu waliokwisha niomba urafiki kwa njia, hii na wakiona kimya basi baada ya muda utaona yule yule anakutumia tena lakini akiwa amebadiki jina ama picha. Picha utakazoziona humu ni baadhi tu Je katika picha hizi mbili au majina haya hujawahi kukutana nayo?
    • Alijitambulisha kwa jina la Favour


  • 10:15 CHEKI TAFSIRI YAKE KUTOKA ENGLISH KWENDA KISWAHILI

    • Conversation started today
    Favour Yalaa
    Jina langu ni Miss neema, nimekuja katika profile yako leo na Ilikuwa hivyo nzuri me.so i aliamua kuacha juu yake na basi unajua kwamba mimi nia ya kuwa na uhusiano na you.please kuwasiliana na mimi kwa anwani yangu ya barua pepe (favioryala@hotmail.co.uk) Naamini kama wewe wasiliana na mimi, i nitakupa kuanzishwa kamili ya binafsi yangu, najua umri si kuwa mbeba na uhusiano wetu, Kumbuka umbali au dini haijalishi lakini upendo mambo mengi katika maisha, kuandika kwangu juu ya (favioryala@hotmail.co.uk) na i nitakutuma picha yangu. kando kuna kitu muhimu sana i mapenzi kama kumwambia wewe wakati wewe wasiliana na mimi, Tafadhali mimi si kuzungumza, kuandika tu kwangu juu ya anwani yangu ya barua pepe na i kujibu you.waiting kusikia kutoka kwenu.

    Miss neema.
    My name is Miss favour,I came across your profile today and It was so good to me.so i decided to stop on it and let you know that i am interested to have a relationship with you.please contact me at my email address( favioryala@hotmail.co.uk) I believe if you contact me, i will give you a full introduction of my self ,I know age will not be a bearer to our relationship,Remember the distance or religion does not matter but love matters alot in life,write to me on ( favioryala@hotmail.co.uk) and i will send you my pictures. beside there is something very important i will like to tell you when you contact me, Please I don't chat, just write to me on my email address and i will respond to you.waiting to hear from you, Miss favour.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>