Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA SIMBA WATUNDURU WASAINI MKATABA WA KUZICHAPA AGOSTI 30

$
0
0
 Rais wa TPBO Ltd, Yassini Abdallah 'Ostadhi' (katikati) akiwatambulisha mabondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kushoto) na Simba Watunduru baada ya kusaini mkata wa kupambana August 30 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam.
*****************************************************
Na Mwandishi Wetu, Dar 
 MABONDIA Ibrahimu Class 'King Class Mawe' na Simba Watunduru wametambiana kiasi cha kutaka kukiuka miiko ya mchezo wa masumbwi walipotaka kuchapana makonde kavu kavu mbele ya Rais wa TPBO Yassini Abdallah 'Ostadhi' wakati wa zoezi la utiaji saini mkataba  wa makubaliano wa kupambana katika pambano lao la kirafiki litakalochezwa  kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee Agost 30, mwaka huu.
Mabondia King Class (kushoto) na Simba wa Tunduru, wakitunishiana misuli wakati wa zoezi hilo.
Rais wa TPBO LIMITED Yassini Abdallah 'Ostadhi' akimkabidhi, mkataba wa makubaliano bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kutia saini katika ofisi za TPBO LTD Dar es salaam.
Rais wa TPBO Ltd, Yassini Abdallah 'Ostadhi' akimkabidhi mkataba wa makubaliano bondia Simba Watunduru baada ya kutia saini katika ofisi za TPBO LTD Dar es salaam.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>