ENZI HIZO:- huyu si mwingine bali ni mwanamuziki wa bendi ya Fm Academia, Patcho Mwamba, akiwa na my Naniliu wake, wakaati huo bendi ya Fm Academia ikiwakilishwa na wanamuziki kama Patceko Mbongo, Sergie Mwila, Ndanda Cosovo, Chai Jaba na wengine wengi.