Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*RAIS MSTAAFU ATEMBELEWA NA WAGENI MBALIMBALI NYUMBANI KWAKE

$
0
0
 Rais Msataafu Mh. Benjamin Mkapa (alienyanyua mkono mbele) leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam  akiongea na wageni wake jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam walipokwenda kumtembelea. (Pichani mbele mwenye  Kaunda suti ya cream) ni Mkuu wa Chuo cha Diplomasia Balozi Mohammed Omari Maundi.
 Rais Mstaafu Mh. Benjamin Mkapa (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene (kulia), jana jijini Dar es Salam walipokwenda  kumtembelea.(pichani katikati) Ni Mkuu wa chuo cha Diplomasia nchini Balozi Mohammed Omari Maundi.
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake waliomtembelea nyumbani kwake jana.  Picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>