Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHAMA CHA UMOJA WA WAKE WA VIONGOZI WATOA MSAADA WA VITABU NA KUOMBA WADAU,...

 Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda  akipokea  vitabu vyenye thamani ya shilngi milioni 35  kutoka kwa Meneja  Mkuu wa kituo cha kuendeleza vipaji kwa vijana THT Bwana Mwita Mwaikenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAN CITY WALIVYOTWAA UBINGWA WA LIGI YA ENGLAND JANA

Man City jana wametwaa ubingwa wa Ligi kuu ya England baada ya kuwachapa New Castle kwa mabao 2-1 na kujiongezea pointi 86 zilizowafanya kuwa juu ya Liver Pool wenye pointi 84 na kutwaa ubingwa huo kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TASWIRA YA BANDARI YA ZANZIBAR KWA SASA NA UTARATIBU WA KIDIGITALI NA KIMATAIFA

 Baadhi ya abiria wakiwasili na kuondoka kwenye Bandari ya mji wa Zanzibar, ambapo kwa sasa baada ya kukarabatiwa na kujengwa upya kumekuwa na utaratibu mzuri kwa abiria wanaoondoka na kuwasili kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA MANDERA

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa rsami na Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo  Ndugu Ahmed Kipozi mara baada ya kuwasili kwenye Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mandera iliyoko wilayani Pagamoyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UMOJA WA WAKE WA VIONGOZI 'NEW MELLINIUM WOMEN GROUP' WATEMBELEA KAMBI YA...

 Mlezi wa chama cha wake wa viongozi New Mellinium Women Group Mama Tunu Pinda akiwongoza wakina mama wenzake kuelekea katika kambi ya Maisha Plus aliye nyuma yake ni Mke wa Makamu wa Raisi Zakia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AONGOZA SHEREHE ZA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisikiliza kwa makini jinsi wauguzi  wanavyotoa huduma ya afya kwa wagonjwa wakati alipotembelea mojawapo ya mabanda ya maonyesho ya Wauguzi wakati wa maadhimisho ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MFUKO WA UBUNIFU NA MAENDELEO YA WATU (HDIF)

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu, unaosimamiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*STARS, KUKIPIGA NA ZIMBABWE UWANJA WA TAIFA DAR JUMAPILI

Mechi ya kwanza ya raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika 2015 nchini Morocco kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Zimbabwe (Mighty Warriors) itafanyika Jumapili (Mei 18 mwaka huu)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BALOZI IDDI ATEMBELEA KUJIONEA NYUMBA YA SALIM AHMED SALIM ILIYOBOMOKA MJINI...

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijumuika pamoja na baadhi ya wananchi kuangalia athari iliyotokea na  nyumba ya Bwana Salim Ahmed Salim baada ya ukuta na dari yake kuanguka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU FROSSIE CHIYAONGA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Balozi Frossie Chiyaonga, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

* KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA MKOANI DODOMA.

 Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi  uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika   mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN). Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M...

View Article

*CHEKI VIDEO YA MAKOMANDOO WA JWTZ WAKIONYESHA UJUZI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA WILAYANI UYUI

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahtubia wakazi wa Loya wilayani Uyui,Katibu Mkuu aliipongeza sana halmashauri ya wilaya kwa kujenga shule za sekondari 18 za kata. Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SEKTA YA UTAMADUNI KUDUMISHA USHIRIKIANO BAINA YA TANZANIA NA CHINA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga(kulia) akiteta jambo na Mshauri wa Masuala ya Utamaduni kutoka Ubalozi wa China nchini Liu Dong walipotembelea ofisi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SIMBA, YANGA ZAKACHA MKUTANO WA RAIS WA TFF NA WENYEVITI WA KLABU ZA LIGI KUU

Mkutano wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi na wenyeviti wa klabu za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kupata maoni yao juu ya changamoto zilizojitokeza katika ligi hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KUWAONA STARS WA TUKUYU v/s ZIMBABWE KIINGILIO 5,000/=

 Kiingilio cha chini cha mechi ya kwanza ya raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika 2015 nchini Morocco kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Zimbabwe (Mighty Warriors) itakayochezwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI MSIBA WA MKUFUNZI KASINDE

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha Mkufunzi wa waamuzi nchini, Omari Kasinde kilichotokea jana (Mei 12 mwaka huu) jijini Dar es Salaam.Mbali ya kuwa Mkufunzi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*JOKATE AWATAKA WAHITIMU WA VYUO VIKUU KUJIAJIRI

 Jokate Mwegelo akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika kongamano la 2014 Market Forum lililofanyika kwenye ukumbi wa Nkrumah. Mrembo na mbunifu wa mitindo huyo aliwataka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AKUTANA NA MKUU WA UNDP BIBI HELLEN CLARK IKULU JIJINI DAR ES...

 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea leo Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.Rais Dkt...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS WA ZANZIBAR DKT SHEIN AFUNGA MAFUNZO YA MAAFISA WA KMKM

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akimvalisha Cheo cha Luteni usu  Abdalla Mohammed Mussa,wa KMKM katika sherehe za ufungaji wa Mafunzo Maalum ya Maafisa 97...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>