Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS OBAMA AMTUMIA SALAMU ZA KHERI RAIS KIKWETE

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo  jijini...

View Article


*CHEKI HAPA MANN PACQUIAO ALIVYO MCHAKAZA ALGIERI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KIEMBA AWAFUATA DIDIER NA DOMAYO KUKIPIGA AZAM FC

 Na Mwandishi Wetu, DarKIUNGO mahiri wa Simba Amri Kiemba, ameanza rasmi kufanya mazoezi na klabu ya soka ya Azam Fc, ikiwa ni mpango wa kukipiga katika klabu hiyo baada ya kukamilika kwa uhamisho wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Kimataifa la kuchochea mwamko wa nafasi ya mabingwa wa uchunguzi tiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*ZOEZI LA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

 Mkazi wa Mtaa wa Mivinjeni , Asha Bakari (kushoto) akijiandikisha  leo kwa mwandikishaji wa kituo cha cha kujiandikisha  cha kura  kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Beatrice Likundo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI ZIWA NYASA

 Wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipata fursa ya kujionea meli pekee inayotoa huduma ya kusafirisha abiria na mizigo (MV Songea) katika Ziwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA AKIUNGURUMA NANYUMBU

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MISS TANZANIA 2012 BRIGITTE ATOA MAFUNZO YA UJASILIAMALI KWA WALEMAVU WA NGOZI

Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred akiteta na wanafunzi waliofika kuangalia jinsi mafunzo ya Ujasiriamali yakiendeshwa na Taasisi ya mrwembo huyo (BAF) na Taasisi ya Junior Achievements Tanzania. Miss...

View Article


*BREAKING NEEEEEWZ!!!, SPIKA WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI ANG'OLEWA

HABARI ZILIZOUFIKIA MTANDAO HUU HIVI PUNDE ZINASEMA KUWA SPIKA WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI, MAGRETH ZZIWA, AMENG'OLEWA RASMI KATIKA NAFASI HIYO NA KUTEULIWA MBUNGE MWANAUME, KUSHIKA NAFASI HIYO KWA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*EMERSON ATUA BONGO KUZIBA NAFASI YA JAJA YANGA

 Mchezaji mpya wa Yanga,Emerson Oliveira Neves Roque akiwa kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kuwasili nchini leo kwa ajili ya majaribio ya kujiunga na Klabu ya Yanga ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU KUADHIMISHA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA KESHO

 Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ephrahim Kwesigabo, akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari  uliofanyika leo jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DAFTARI LA WAPIGA KURA HADHARANI

 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Daftari la Wapiga Kura linalotumika kuandikisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA AUNGURUMA NEWALA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchagua korosho na kuzitenga kutokana na ubora wa madaraja kwenye kiwanda cha Micronix kilichopo Newala mkoani Mtwara. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAADIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM,...

 Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam” na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SHEIKH PONDA AIBUKA KIDEDEA RUFAA YAKE MAHAKAM KUU LEO

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda (wa pili kushoto) akitoka katika chumba cha Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam baada ya kushinda rufaa ya kupinga hukumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*PESA ZA ESCROW ZITO NAE YUMO, ALIPULIWA NA RAFIKI YAKE KIPENZI, LUSINDE

Hii ndiyo barua iliyoandikwa na zito kwa ajili ya kukopa fedha hizo za Escrow kumpeleka mama yake india kutibiwa. Barua hii iliyo na vithibitisho kadhaa pamoja na kopi ya leseni ya aliyetumwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UPINZANI WA MASHABIKI WA SIASA NI KAMA MASHABIKI WA SOKA, CCM NA CUF DUGU MOJA

Hapa vita baina ya wapinzani, mashabiki wa Vyama vya Siasa, itasubiri sana kwa hata wao wamekuwa kama mashabiki wa soka wanapokwenda uwanjani na kurudi nyumbani huitana na kupanda gari ama usafiri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA AUNGURUMA TANDAHIMBA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Tandahimba ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa zao la korosho lina hadithi nyingi sana na njia pekee ya kuleta ukombozi kwa mkulima ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*EMRSON AANZA RASMI MAZOEZI NA KLABU YA YANGA

Kiungo mpya wa Yanga kutoka nchini Brazil, Emerson de Oliveira (wa pili kutoka kulia) akiwa mazoezini na wachezaji wenzake jana asubuhi katika uwnaja wa shule ya sekondari Loyola, wengine kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*VICOBA NI KAMA MKOMBOZI WA WANYONGE NCHINI -SERIKALI

Na Eleuteri Mangi- DodomaSerikali imesema kuwa VICOBA ni taasisi binafsi inayomilikiwa na wananchi wenyewe vikiwa ni miongoni mwa tasisi ndogo za kifedha ambazo ni za kibinafsi na huanzishwa,...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>