Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*OBAMA ATUA ARDHI YA BONGO, ACHENGUKA NA MUZIKI WA MATARUMBETA ASEBENEKA...

Rais Jakaya Kikwete, akiwa na mgeni wake, Rais wa Marekani, Barack Obama, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo mchana huku kwa pamoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MASANJA, SHILOLE WAFIKA ULIPO MJENGO WA UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI

 Juu na chini ni Wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole wakiwa nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania, Washington, DC mara walipopita na kupiga picha nje ya mjengo Jumapili June 30, 2013 walipokua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WATOTO WATEMBELEA MAKABURI YA BABA ZAO WACHINA MAKABURI YA WACHINA DAR

 Mmoja wa watoto wa wataalamu wa ujenzi wa Reli ya Tazara, Zhang Jun Juan, akilia kwa uchungu baada ya kuzulu katika kaburi la baba yake kwa mara ya kwanza  marehemu Zhang  Zhen  Zong kwenye makaburi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*ASKARI WANAWAKE WA JESHI LA POLISI NCHINI WATEMBELEA BANDA LA UMOJA WA...

Picha juu na chini ni Baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi nchini wakiangalia baadhi ya vipeperushi na majarida mbalimbali ya Umoja wa Mataifa kuhusu katika Banda la Shirika la Umoja wa Mataifa lililopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGA MKUTANO WA SIKU 3 WA VIONGOZI WA KIMATAIFA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammmed Gharib Bilal, akifunga  Mkutano wa siku tatu wa Viongozi wa  Kimataifa  wenye  lengo la  kutokomeza  njaa Barani Afrika .Mkutano huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*JAMANI NJOONI MJINI WENYEWE WAMEONDOKAAAA

 Ni mitaa ya maeneo ya Posta jijini Dar mida hii ya mchana baada ya wale jamaa kuondoka zao na njia kufungliwa zikiwa bado zinapitika kirahisi ikiwa bado wananchi wana hofu ya kuingia mitaa ya katikati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SHEIKH WA MKOA WA DAR ES SALAAM, NA SHIA ITHNAASHAR JAMAAT, WATOA MWALIKO WA...

Sheikh wa Mkoa wa Dar-es-Salaam Sheikh Alhad Mussa Salum, akishirikiana na Shia Ithnaashar Jamaat, wanapenda kuwaalika wote,  katika kushuhudia Miujiza ya Qur’an ya kijana HAFIZ MOHAMMED TAQI KHAN toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*OBAMA AFANYA VITU ADIMU DAR KABLA YA KUPAA LEO

Huyuuuuuuuuuu, ndiye Obama, Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzalisha umeme ya Ubungo jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS OBAMA NA UJUMBE WAKE WAMALIZA ZIARA YAO NCHINI WAPAA LEO KUREJEA MAREKANI

 Rais wa Marekani, Barack Obama na mkewe Michelle, wakipanda ndege yao aina ya Air Force One, tayari kuondoka nchini kurejea nchini kwao baada ya kumaliza rasmi ziara yao katika Bara la Afrika, ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA WAFANYIKA SERENA HOTELI...

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu wa Marekani  Mheshimiwa George Bush wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wake wa Marais na wakuu wa nchi za Afrika unafanyika Dar es Salaam kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MUHIMBILI SASA KUANZA KUJENGA CHUO KIPYA MWEZI AGOSTI

Pichaya mchoro unaoonyesha ramani ya Jengo hilo.*********************************************************************Na Belinda Kweka- MAELEZOCHUO Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili(MUHAS)  kipo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SHILOLE, MASANJA WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC

 Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani mama Lily Munanka (katikati) akiwakaribisha wasanii, Masanja na Shilole wakiwa pamoja na Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TWIGA BANCORP KUTUIMIA MAWAKALA KUTOA HUDUMA ZAKE

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Twiga Bancorp Limited, Hussein Mbululo, akizungumza na waandishi wa Habari kuhusiana na huduma mbalimbali za kibenki zinazopatikana katika katika Banda la Benki hiyo lililopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BPZ YAZINDUA HUDUMA YA KUSAFIRISHA FEDHA KWA HARAKA KUPITIA SIMU ZA MKONONI

 Balozi Seif akiangalia ujumbe wa simu aliotumiwa wa kupokea fedha kwa njia ya huduma ya kusafirisha fedha kwa haraka kutoka kwa mmoja wa Marafiki zake Bwana Hassan aliyeko Canada kupitia kituo cha...

View Article

*TUJIKUMBUSHE MAGOLI YA MOROCCO v/s TANZANIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*NBC BANK & AFRICAN FIRST LADIES SUMMIT AFRICA, MKURUGENZI WA NBC ATOA SOMO

 Rais wa zamani wa Marekani, George Bush (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya watoa mada kuhusu maendeleo ya wanawake viongozi wakati wa Mkutano wa Kimataifa wa Wake wa Marais wa Afrika jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*REDD'S MISS TEMEKE 2013 KUJINYAKULIA ZAWADI ZA JUMLA YA SH. M 3, 250,000

Warembo wanaowania taji la Redd’s Miss Temeke wakiwa katika picha ya pamoja na waandaaji wa shindano hilo sambamba na wasanii watakaotumbuiza siku hiyo Ben Paul na Luiza Mbutu wa bendi ya Twanga pepeta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TBL YANOGESHA SIKU YA WAKULIMA WA SHAYIRI KARATU

 Mtafiti wa Mbegu,Geremiah Mrimi  (wa pili kushoto) akimuonesha Meneja wa Kiwanda cha Kimea cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Moshi, Vitus Mhusi mbegu aina ya Shayiri zilizokubaliwa na Wizara ya...

View Article

*TAMKO LA CCM DMV

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA MABANDA YA BIASHARA SABASABA

 Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo kutoka kwa n Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Makazi(UNHABITANT) Phillemon Mutashubirwa  kuhusu wanavyofanya kazi ya kusaidia watoto wa...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>