Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*MWILI WA HAYATI NELSON MANDERA KUANZA KUAGWA KATIKA JENGO LA UNION, PRETORIA

$
0
0
Askari wakibebea Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandera, kuingiza katika Jengo la Union Buildings, lililopo jijini Pretoria kwa ajili ya shughuli za kutoa heshima za mwisho zitakazofanyika kwa siku tatu, kabla ya mwili huo kuzikwa rasmi, Desemba 15, siku ya jumapili, Kijijini kwa marehemu, Qunu.
Wananchi wakionyesha furaha baada ya kuona gari lililobeba jeneza lenye mwili wa Nelson Mandera.
Msafara wa gari lililobeba mwili wa Hayati Nelson Mandera, ukipita mitaani huku wananchi wakiwa wamejipanga pembezoni mwa barabara kushuhudia.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>