Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*YALE YALEEEE, NANI WA KULAUMIWA HAPA, DEREVA, MWENYE MZIGO AU ASKARI WA USALAMA BARABARANI?

$
0
0
Magunia ya mkaa yakiwa yamemwagika katikati ya barabara ya Bagamoyo eneo la Bondeni Darajani 'Kawe', baada ya gari lililokuwa limebeba mkaa huo kuzidiwa uzito na kutokana na kubeba mzigo uliozzidi uwezo wa gari hilo, jana. Gari hilo liliyumba na kumwaga mkaa huo wakati likipanda kijilima hiki (kushoto), ambapo imekuwa ni kawaida kwa magari yanayobeba mkaa kuwa yakibeba mzigo mzito kuzidi uwezo wa gari huku yakikatiza mbele ya askari wa usalama barabarani tena maeneo ya makazi ya watu bila kuchukuliwa hatua.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>