Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA JESHI LA KUJENGA TAIFA JKT

$
0
0
 Amiri Jeshi Mkuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akikagua gwaride wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya tangu kuanzishwa kwa jeshi hilo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Da es Salaam jana mchana.
 Chini na juu ni askari hao wakipita mbele ya jukwaa kuu kwa gwride la heshima.
 Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakionyesha umahiri wao kujihami na adui kwa mbinu za Karate wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa jeshi hilo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, jana mchana.
 Mbinu za kujihami....
Rais Jakaya Kikwete, akihutubia.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>