Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*BONDIA IBRAHIMU MAOKOLA AJIFUA KUMKABIRI SELEMANI MKALAKAL AGOSTI 9

$
0
0
Bondia Ibrahimu Maokola (kushoto) akipiga beg kubwa huku akisimamiwa na Athumani Magambo, wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na pambano lake na Selemani Mkalakali, linalotarajia kufanyika Agost 9 katika ukumbi wa Amenya Pub Mbagala.
Bondia Ibrahimu Maokola, akifanya mazoezi ya kuimarisha misuli ya tumbo kwa ajili ya kujiandaa na pambano lake na Selemani Mkalakala, linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Amenya Pub uliopo Mbagala siku ya ya Agost 9. Picha na Super D

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>