Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*MWENYEKITI WA CCM TAIFA AWASILI DODOMA, AFUNGUA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA

$
0
0

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono Viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi waliofika uwanjani kumlaki.

 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na 
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana .
 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma na Mjumbe wa Kamati Kuu Ndugu 
Adam Kimbisa.

 Mwenyekiti wa CCM Taifa , Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana 
na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Ndugu Khamis Sadifa Juma.

 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana 
na mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi  ndugu Octavian Kimario .
 Watumishi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakishangilia 
kwa furaha ujio wa Mwenyekiti wa CCM Taifa , Rais Jakaya Mrisho 
Kikwete mara tu alipowasili Dodoma tayari kwa Mkutano wa Kamati 
Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa ya Chama.
Shambra shambra za kumpokea Mwenyekiti wa CCM.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akibadilishina mawazo 
na Mjumbe wa Kamati Kuu Ndugu Stephen Wassira kabla ya Kikao cha 
Kamati kuanza leo Dodoma kwenye Ukumbi wa NEC.
 Wajumbe wa Kamati Kuu wakijadiliana jambo ndani ya ukumbi wa NEC 
kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu,Dodoma 23 Agosti 2013.
 Mjumbe wa NEC, Prof. Anna Tibaijuka akipitia Katiba ya Chama kabla 
ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ndani ya ukumbi wa NEC.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Jakaya Mrisho Kikwete ,akifungua kikao 
cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa CCM,Kushoto kwake ni 
Makamu wa CCM Zanzibar Ali Mohamed Shein na kulia ni Katibu Mkuu 
wa CCM ndugu Abdulrahman Kinana. Picha na Adam Mzee

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>