Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MWANAMUZIKI MUHIDIN GURUMO ATANGAZA RASMI KUSTAAFU MUZIKI

Mwnamuziki mkongwe wa muziki wa dansi wa bendi ya Msondo Ngoma, Mzee Muhidin Gurumo, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uamuzi wake wa kustaafu rasmi kazi ya muziki aliyoifanya kwa muda wa miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BREAKING NEEEEEWZZZ!!! NDEGE NDOGO YA TANZAIR YATUA ZIWA MANYARA KUNUSURU...

Picha na Maktaba.Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde kutoka Mkoani Arusha zinaeleza kuwa Ndege Ndogo ya Shirika la Ndege la TANZAIR iliyokuwa ikitokea Mjini Bukoba kuelekea Jijini Dar es Salaam,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KAMATI KUU YA CCM KUKUTA KESHO MJINI DODOMA

Kamati Kuu ya CCM Taifa itakutana tarehe 23.8.2013 ikifuatiwa na Halmashauri Kuu keshokutwa asubuhi  ambapo itakuwa kwa siku mbili.Ajenda Kuu ya Kamati Kuu itakuwa  kujadili maoni ya wana CCM juu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*GENN REDIO INAWALETEA KIPINDI KIPYA CHA ''Bongo Views'' KUTOKA KWA...

Global Entertainment and News Network (GENN) iliyopo Kansas City nchini Marekani, inawaletea kipindi  kipya cha BONGO VIEWS kitakacho endeshwa LIVE kila Jumamosi  midaa ya Saa 5 PM za Marekani ya kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*NOTICE TO OUR CUSTOMERS NMB BANK

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TWANGA PEPETA, ROMA MKATOLIKI KUPAMBA TAMASHA LA WAFANYAMAZOEZI LA VILA MALT...

Mkufunzi wa kimataifa wa maswa ya mazoezi ya viungo bwana SAAS akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya tamasha kubwa linalowakutanisha wafanya mazoezi kote nchini na familia zao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MUGABE WA ZIMBABWE JIJINI HARARE

 Rais wa Zimbabwe Mhe Robert Gabriel Mugabe akila kiapo katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa kwake jana Agosti 22, 2013. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MISS TANZANIA BRIGITTE AANZA UJENZI WA BWENI LA WANAFUNZI ALBINO MKOANI...

Miss Tanzania 2012-013, Brigette Alfred aliweka jiwe la msingi katika ujenzi wa bweni la wavulana shule ya msingi Buhangija akiwa pamoja na afisa elimu wa manispaa ya Shinyanga Honoratha Ruhumbika....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MSHIKE MSHIKE WA LIGI KUU KUANZA KUTIMUA VUMBI KESHO JUMAMOSI

Na Boniface WamburaMichuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2013/2014 inaanza kutimua vumbi kesho (Agosti 24 mwaka huu) katika viwanja saba tofauti huku mabingwa watetezi Yanga wakianza kutetea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SASA 'KIMEELEWEKA' TIKETI ZA ELEKTRONIKI KUANZA MZUNGUKO WA NNE

Tiketi za elektroniki zitaanza kutumika katika mzunguko wa nne wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) utakaoanza Septemba 18 mwaka huu. Tayari benki ya CRDB ambayo ndiyo ilishinda tenda hiyo imeshakamilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MATATIZO YANAYOLIKABILI TAIFA NI MAADILI (TAUMATA) KUPATA UFUMBUZI WAKE

Na Mwandishi WetuTaasisi ya Urejesho wa Maadili ya Taifa (Taumata) iliyosajiriwa kwa usajiri namna S.A 18827, imesisistiza kuwa kurejea katika maadili mema ndio ufumbuzi wa matatizo yanayolikabili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UNIC YAWATAKA VIJANA KUJITAMBUA MAPEMA ILI KUJENGA TAIFA LITAKALOKUWA NA...

Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Usia Nkhoma Ledama akizungumza na wanafunzi wa Sengerema High School, kuhusiana na umuhimu wa kuanzisha vilabu vya Umoja wa Mataifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WANANCHI WA TABORA WACHANGAMKIA FURSA

Mghani mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto akizungumza kwa msisitizo,masuala ya fursa mbalimbali zinazopatikana katika suala zima la ujasiliamali mapema leo kwenye semina ya Fursa iliyofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS JAKAYA KIKWETE AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU...

  Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu wapya mara baada ya kuapishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HII NDIYO NDEGE YA TANZANAIR ILIYOTUA KATIKATI YA ZIWA MANYARA JANA

 Hii ndiyo  Ndege Ndogo ya Shirika binafsi la Ndege la TANZANAIR iliyokuwa ikitokea Mjini Bukoba kuelekea Jijini Dar es Salaam kupitia Zanzibar, ililazimika kutua katikati ya Ziwa Manyara lililopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MWENYEKITI WA CCM TAIFA AWASILI DODOMA, AFUNGUA KIKAO CHA KAMATI KUU YA...

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono Viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi waliofika uwanjani kumlaki. Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete...

View Article

*MAJINA YA WAOMBAJI UONGOZI TFF, TPL BOARD SASA HADHARANI YASOME HAPA

Na Boniface WamburaKamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imebandika rasmi kwenye ubao wa matangazo majina ya waombaji uongozi kwenye uchaguzi wa TFF na Bodi ya Ligi Kuu (TPL...

View Article


*WANAOANZA KUKIMBIZA YANGA v/s ASHANTI

YANGA:-Ali Mustafa 'Bartez', Juma Abdul, David Luhende, Nadir Haroub 'Canavaro', (c) Mbuyu Twite, Athuman Idd, 'Chuji', Simon Msuva, Salum Telela, Didier Kavumbagu, Jerson Tegete na Haruna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*YANGA INAONGOZA BAO 1-0 MPIRA NI KIPINDI CHA PILI

 Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima akiwatoka mabeki wa Ashanti, ambapo alifanikiwa kuwakalisha mabeki kwa kuwalamba chenga hadi golikipa, na kukosa bao hilo la wazi baada ya kubaki yeye na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*YANGA BAO LA PILI MSUVAAAAAAAAAAAA

Ni Simon Msuva anawanyanyua mashabiki wa Yanga kwa kufunga bao la pili.

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>