Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*FUNDRAISING DINNER COLUMBUS YAFANA BALOZI LIBERATA MULAMULA ASISITIZA...

Mhe. Liberata Mulamula akipokewa na mweka hazina wa Jumuiya Bi. Vera Teri mara tu alipowasili kwenye fundraisng dinner ya Jumuiya ya Watanzania Columbus, Ohio iliyofanyika Comfort Inn siku ya Jumamosi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMA SALMA KIKWETE AWAASA WALEMAVU KUJIAMINI KWA ULEMAVU WAO

Na Anna Nkinda – Maelezo, LindiWatu wenye ulemavu wa viungo wametakiwa  kutosikitika kwanini Mwenyezi Mungu aliwaumba hivyo na kujiona wanyonge bali wajione wako  sawa na watu wengine  kwani  katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*ALPHOCE FELIX NA JACKLINE SAKILU WAIBUKA WASHINDI WA MBIO ZA NGORONGORO...

Wanariadha wa Mbio za Ngorongoro Marathon, Kilometa 21 (Half Marathon) wakianza mbio katika geti kuu la Mbuga ya Ngorongoro na kuishia mjini Karatu.Mchuano wa wanariadha ukiendelea kwa kasi.Ilikuwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TAMKO LA WANAFUNZI KUHUSU BUNGE MAALUM LA KATIBA MPYA

Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Gulatone Masiga akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari(hawapo pichani), kushoto ni Acbert Sweya kutoka Chuo Kikuu cha Kampala.wakati wa Mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KITUO CHA WALEMAVU CHA RASIBURA NA KUTOA ZAWADI...

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikaribishwa kwenye kituo cha walemavu cha Rasibura na Ndugu Simon Mnimbo, Mkurugenzi wa Shirika la Caritas la Kanisa Katoliki Jimbo la Lindi wakati Mama Salma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WACHEZAJI WA AIRTEL RISING STARS KUTOKA SIERRA LEONE WAWASILI DAR

 Meneja Uhusiano Airtel Tanzania Jackson Mmbando akiongea kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius mara ya kupokea timu ya Airtel Rising Stars kutoka Sierra Leone ambao watahudhuria kliniki ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA 28 LA MWAKA LA WANASAYANSI LA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua pazia kuashiria kuzindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR),...

View Article

*HOTUBA YA RAIS KIKWETE JIJINI LONDON KUHUSU UCHUMI NA MAFUTA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS WA ZANZIBAR, DKT. SHEIN APOKEA TAARIFA YA SITTA AMPAKUHUSU MWENENDO WA...

 Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CCM MEATU WASILIMISHA VIONGOZI WA CHADEMA

 Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi.Mwenezi wa Chadema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WATANZANIA WAMETAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI

Ofisa utumishi Mkuu  Wilaya ya kinondoni  Bwana Godfrey Mugomi akikata utepe  kuashiaria  uzinduzi  wa Hoteli ya kisasa STAR CITY HOTEL iliyopo Afrikana sinza wanaoshudia ni Mkurugezi mkuu na mmiliki...

View Article

*KIJIWE CHA UGHAIBUNI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BALOZI IDDI AZINDUA VYOO VYA SHULE YA KIJITOUPELE NA MABOMBA

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akivizindua rasmi vyoo vya Skuli ya Kijitoupele A, B na Sekondari pamoja na Mabomba,Tangi la Maji vilivyojengwa na ufadhili ya Shirika la Umoja...

View Article


*JIPANGE KUWAONA TAIFA STARS, BURUNDI KWA VIINGILIO HIVI TU

Kiingilio cha chini katika mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Burundi (Intamba Mu Rugamba) itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WATANZANIA KUTOYUMBISHWA NA WASIOITAKIA MEMA NCHI YAO

Frank Mvungi-MaelezoKAMATI  ya Tanzania Kwanza nje ya Bunge la Katiba imewataka Watanzania kutoyumbishwa na misimamo ya watu wachache wasioitakia mema Tanzania.Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MKENYA OGWAYO KUCHEZESHA STARS v/s BURUNDI JUMAMOSI

 Mwamuzi Anthony Ogwayo mwenye beji ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kutoka Kenya ndiye atakayechezesha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Burundi (Intamba Mu Rugamba)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU...

 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chung IL  wakikata utepe kuashiria uwekaji wa  jiwe la msingi la ujenzi wa  Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*VIJANA 72 WA VIPAJI VYA SOKA KUTOKA NCHI 12 ZA BARANI AFRIKA WAANZA KUNOLEWA...

 Kocha Andrew Stokes kutoka shule ya soka la vijana ya Manchester United, akitoa maelekezo kwa washiriki wa kliniki ya Kimataifa ya soka ya Airtel Rising Stars inayofanyika kwenye uwanja wa Azam Compex...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UNHWA YA KOREA KUSINI KUISAIDIA NIMR KATIKA UGUNDUZI WA DAWA KWA KUTUMIA MIMEA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na  Mtendaji Mkuu wa kampuni ya UNHWA ya Jamhuri ya Korea Kusini  Bw. Young Woo Jin na ujumbe wake na uongozi wa NIMR walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam jana....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KUMBUKUMBU YA MAREHEMU JOACHIM BWANAMPINI LEBABU KIRAMBATA

KUZALIWA 02/02/1945 KUFA 04/05/2013TAREHE 04/05/2014 UMETIMIA MWAKA MMOJA KAMILI TANGUMWENYEZI MUNGU AKUITE.ILIKUWA SIKU YA MAJONZI MAKUU KATIKA FAMILIA YETU.KIFO KILITOKEA KATIKA HOSPITALI YA...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>