Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KAMPUNI YA PR PROMOTION YATAMBULISHA MISS REDDS MBAGALA 2014.

 Afisa Habari Kampuni ya PR Promotion Bw. Victor Mkumbo (kushoto) akitoa maelezo mbele ya waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu utambulisho wa Miss Redds kwa Kitongoji cha Mbagala kwa mwaka 2014....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BALOZI LIBERATA MULAMULA AHUDHURIA ONESHO LA PICHA ZA KUCHORA LA JAMBO,...

Mariam Osher Mmarekani mchoraji aliyetembelea mbuga za wanyama Tanzania na kubuni uchoraji wa wanyama aliowaona huko Tanzania na kutumia michoro hiyo kuitangaza Tanzania kwa Wamarekani na raia wengine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KILELE CHA SIKU YA WAKUNGA DUNIANI,...

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Ndugu Clavery Mpagama mara baada ya kuwasili Mnazi Mmoja kuhudhuria kilele cha siku ya wakunga duniani leo tarehe 5.5.2014. Maandamano ya wakunga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DART KUANZA KUTOA HUDUMA MAPEMA MWAKANI

 Meneja usimamizi wa Barabara toka Wakala wa mabasi yaendayo haraka (DART) Mhandisi Mohamedi Kaganda (kulia) akielezea kwa waandishi wa Habar (hawapo pichani) leo  Jijini Dar Es Salaam namna mabasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TAARIFA KWA UMMA JUU YA UPOTOSHWAJI WA TAARIFA YA HALI YA HEWA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI       MAMLAKA YA HALI YA HEWA                             TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH : UPOTOSHWAJI WA TAHADHARI YA HALI YA HEWA KUHUSIANA NA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WABUNGE WAPYA RIDHIWANI KIKWETE NA GODFREY MGIMWA WAAPISHWA NDANI YA BUNGE...

Mbunge Mpya wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akila kiapo Bungeni Mjini Dodoma,leo Mei 6, 2014.Mbunge Mpya wa Jimbo la Kalenga,Mh. Godfrey Mgimwa akila kiapo Bungeni mjini Dodoma leo Mei 6,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MAZUNGUMZO BAINA YA VIONGOZI WA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano wa siku mbili wa Mazungumzo baina ya Viongozi wa Dini mbalimbali na Wanasiasa...

View Article

*SIKILIZA CLIP HII YA NAPE KUNGURU HAFUGIKI NA BI AISHA BAKARI ZANZIBAR

Bi.Asha Bakari Makame.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*ANDIKENI HABARI ZA KUMKOMBOA MWANANCHI : JAJI BOMANI

Mshehereshaji ambaye ni Mwanakamati ya maandilizi ya maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2014, Usia Nkhoma Ledama akiwatambulisha baadhi ya waandishi wa habari wakongwe (hawapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HABARI KUTOKA TFF LEO, TFF KUANZISHA MFUKO WA MAENDELEO, MWINYI KAZIMOTO...

*TFF KUANZISHA MFUKO WA MAENDELEOShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeazimia kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu Tanzania (TFF Development Trust Fund).Uamuzi wa kuanzisha mfuko...

View Article

*BONANZA LA KWANZA LA MICHEZO KUFANYIKA GYMKHANA CLUB DAR ES SALAAM, MEI 24

Bonanza la kwanza kushirikisha michezo tofauti katika klabu ya Dar es Salaam Gymkhana limepangwa kufanyika Mei 24 kwenye viwanja hivyo.Bonanza hilo limeandaliwa na klabu ya Gumkhana kwa kushirikiana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAGARI ZAIDI YA MIA YAKWAMA ENEO LA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM MTWARA

 Malori na Mabasi yakiwa kwenye msongamano baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara, jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MKUTANO WA WIZARA YA AFYA WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, MPANGO WA...

 Kaimu Mkurugenzi wa Huduma  za Kinga,kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk,Neema Rusibamayila akifungua mkutano wa tatu wa   wa siku tatu wa magonjwa yasiyopewa  kipaumbele leo unaoendelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AWASILI ABUJA, NIGERIA, KUHUDHURIA MKUTANO WA UCHUMI DUNIANI

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea shada la maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nnamdi Azikiwe jijini Abuja, Nigeria, usiku wa Mei 6, 2014 ambako atahudhuria  Mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*A GENOCIDE WE CAN STOP: JOIN US AS WE FIGHT TO SERVE LIVES IN AFRICA THROUGH...

JUBA, REPUBLIC OF SOUTH SUDAN, MAY 6, 2914: ​Women and children pulled from schools and hospitals and killed by the roadside, hate propaganda filling the airwaves - Rwanda 20 years ago? This is...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA CCM NA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Viongozi wa CCM Wilaya na Mufindi wlioongazana na baadhi ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 26 TABORA, SINGIDA NA MANYARA

*NI YA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM*KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI* KUKAGUA MAANDALIZI YA CHAMA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAAKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye  akiwa na baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO CHA KIMATAIFA...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIA; MKUTANO MKUU AIPSWIKI iliyopita kulifanyika Mkutano Mkuu wa Chama cha Kimataifa cha Waandishi wa Habari za Michezo (AIPS) jijini Baku, Azerbaijan.Mkutano huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI IDARA MAALUM ZA SMZ

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Idara Maalum za SMZ katika mkutano wa utekelezaji mpango kazi wa robo tatu ya mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*PRESIDENT KIKWETE MEETS FORMER BRITISH PM GORDON BROWN AND MARK SUZMAN OF...

President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete shakes hands with Rt. Hon. Gordon Brown (MP), UN Special Envoy for Global Education and Former British Prime Minister in the sidelines of the World Economic Forum on...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>