Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BENKI YA NBC YAFUTURU NA WATEJA WAKE HOTELI YA SERENA JIJINI DAR

 Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kushoto) akipokewa na Meneja Mahusiano wa Benki ya NBC Tanzania, William Kallaghe na Mwenyekiti wa Bodi ya NBC, Dk. Mussa Assad (kulia) alipoalikwa kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHEKA UPASUKE NA KANSIIME LIVE JIJINI DAR ES SALAAAM

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DIAMOND PLATNUMZ AFANYA MAKAMUZI YA NGUVU KANSAS CITY, MISSOURI NCHINI MAREKANI

Diamond Platnumz akiendelea na makamuzi ndani huku akiwa amezungukwa na mashabiki wa Kansas City na wenggine wakiwa wamesafiri kutoka majimbo ya jirani.Mashabiki wa Diamond Platnumz wakicheza pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WANAHABARI: ANDIKENI HABARI ZA VVU NA UKIMWI ZENYE KULETA MATUMAINI

Mshauri na Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO, Bi. Rose Haji Mwalimu akitoa mada inayohusu mchango wa vyombo vya habari katika kuhamasisha matumizi rafiki ya huduma za kuzuia VVU na Huduma za Afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAHAFALI YA SHULE YA AWALI YA OJAYS KIDDIES ZONE YAFANA

Watoto wa shule ya Ojays Kiddies Zone iliyopo maeneo ya Kinondoni Block 41, wakiwa kwenye chumba cha mapumziko kabla ya kuanza kwa mahafali ya Kaka na Dada zao wa Laura Class kuanzia miaka 4-5...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*AIPS YAANDAA MAFUNZO KWA WANAHABARI CHIPUKIZI

Habari wadau, Chama cha Kimataifa cha Waandishi wa Habari za Michezo (AIPS), kimeandaa mafunzo kwa ajili ya waandishi wa habari za michezo chipukizi wa umri kati ya miaka 19-25 yatakayofanyika Doha...

View Article

*LIVE KUTOKA BRAZIL, UJERUMAN INAONGOZA 4-0 DHIDI YA BRAZIL

BAO LA KWANZA DK YA 11, THOMAS MULLER, LA PILI DK YA 22, KLOSE, LA TATU DK YA 24 NA LA NNE DK YA 25. BADO NI KIPINDI CHA KWANZA.

View Article

* DAKIKA YA 29 UJERUMAN WANAANDIKA BAO LA TANO

SAMI KHEDIA, ANAIPATIA UJERUMAN BAO LA TANO, UJERUMAN 5- BRAZIL 0.

View Article


*THOMAS MULLER ANAIPATIA UJERUMAN BAO LA 6

DAKIKA YA 59, THOMAS MULLER ANAANDIKA BAO LA SITA. BRAZIL 0- UJERUMAN 6.

View Article


*ANDRE ANAIPATIA UJERUMAN BAO LA 7

DAKIKA YA 76, UJERUMAN BAO LA 7 KUPITIA KWA ANDRE. UJERUMAN 7- BRAZIL 0.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UJERUMAN YATANGULIA FAINALI KWA KUWABANJUA BRAZIL MABAO 7-1

DAKIKA YA 90 OSCAR ANAIPATIA BRAZIL BAO LA KUFUTIA MACHOZI. BRAZIL 1- UJERUMAN 7 NA MPIRA UMEKWISHA NA SASA UJERUMAN YATANGULIA FAINALI KUSUBIRI MSHINDI KATI YA ARGENTINA NA UHOLANZI.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI, ANNE MAKINDA AKUTANA NA SPIKA WA BUNGE LA...

  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika mazungumzo na  Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van  Miltenburg (mwenye koti jeupe) pamoja na ujumbe wa wabunge wanane kutoka Bunge la uholanzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HIKI NI KITUKO CHA MWAKA, BINTI KAKUTWA KAUCHAPA USINGIZI NDANI YA SANDUKU...

Kwa haraka unaweza usiamini macho yako na hata ukibidi unaweza kuomba maji unawe uso ili uweze kuyaamini macho yako kile kinachoonekana mbele yako kama hivi.Lakini baada ya kuamini macho yako bado...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI TUKUYU KUJIANDAA KUIKABILI MSUMBIJI

Wakati Taifa Stars inaingia kambini Tukuyu mkoani Mbeya kesho (Julai 9 mwaka huu), kocha Mart Nooij amesema kambi ya wiki mbili nchini Botswana imekisaidia kikosi chake kujiandaa kwa ajili ya mechi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MFUMUKO WA BEI NCHINI UMEPUNGUA - OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU

Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na sensa ya Watu na Makazi Bw. Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu kupungua kwa  mfumuko wa bei...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DKT SHEIN AFUTARISHA WANANCHI KASKAZINI PEMBA

 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kushoto) akiwakaribisha Mashekhe katika futari  aliyoiandaa kwa Wananchi  waumini wa Dini ya Kiislamu wa Mkoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA NEMBO MPYA YA AMREF HEALTH AFRICA...

Mkurugenzi wa Amref Health Africa Tanzania Dr. Festus Ilako (wa kwanza Kushoto) Akimkaribisha Waziri wa Afya Dr. Seleman Seif Rashid kuzindua Nembo Mpya.Waziri wa Afya, Mwenyekiti wa bodi ya kimataifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE...

Diwani wa kata ya Lupingu  wilaya ya  Ludewa  John Kiowi kulia  akiwa amevalia sare za CCM huku akieleza imani yake  kwa mbunge  wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe katika  kuwatumikia  wananchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*NI USIKU WA UHOLANZI NA ARGENTINA MTANANGE KUANZA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA

KAA TAYARI KUPATA MSTOKEO LIVE YA MTANANGE NUSU FAINALI KATI YA ARGENTINA.NA UHOLANZI.

View Article

*KOMBE LA DUNIA FAINALI NI ARGENTINA vs UJERUMANI

DAKIKA 120 ZA MCHEZO WA NUSU FAINALI KATI YA ARGENTINA NA UHOLANZI ZIMEMALIZIKA BILA KUPATIKANA MBABE NA KUFIKIA HATUA YA MATUTA. KATIKA HATUA HIYO ARGENTINA WAMEJIKATIA TIKETI YA KUTINGA FAINALI HIZO...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>