Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TRAFIKI APATA KICHAPO KWA KUSABABISHA AJALI HUKO KIBAHA KWA MFIPA

 Gari la abiria aina ya Coastal na Fuso, yakiwa yamegongana uso kwa uso huko maeneo ya Kibaha kwa Mfipa mwishoni mwa wiki iliyopita. Shuhuda wa ajali hiyo ameueleza mtandao huu kuwa raia wenye hasira...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SIKU YA MSANII KUFANYIKA JUMAMOSI YA WIKI HII MLIMANI CITY JIJINI DAR-ES-SALAAM

 Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii Tanzania (SYM), Bw. Peter Mwendapole akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Siku ya Msanii Tanzania itakayofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City siku ya tarehe 25...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAKULIMA WA ZAO LA SHAYIRI WATEMBELEA KIWANDA CHA KIMEA CHA TBL MKOANI MOSHI

 MENEJA wa Kiwanda cha Kimea - Moshi, Vitus Mhus akiwaonyesha hatua ya kwanza ya zao la Shayiri linalotumika kutengenezea kimea mahali linapopokelewa kabla ya kuanza kuingizwa kiwandani.Wakulima hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*LUNDENGA AANZA KUMTETEA MISS TANZANIA 2014 KUHUSU SAKATA LA UMRI

 Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya sakata la umri halali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RITA YAFANIKIWA KUSAJILI WANAFUNZI ELFU 15 MANISPAA YA ILALA.

 Meneja Masoko, Mawasiliano na Elimu kwa Umma kutoka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) Bw. Josephat Kimaro akiwaeleza  waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam kuhusu...

View Article


*DKT BILAL ALIPOWAHUBIRIA WAKRISTU WA JIJINI MWANZA KATIKA HOTUBA YAKE YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MDAU EBRA ATUA BONGO KUSHOW LOVE NA BINTIYE FAUZIA AKIGRADUATE

 Mdau Ebra anayeishi jiji la New York, Marekani, akipozi kwa picha na binti yake, Fauzia, wakati wa sherehe ya mahafali ya kidato cha nne ya shule Sekondari Baobab ya Bagamoyo, mwishoni mwa wiki. Ebra...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MIS TANZANIA ASHINDWA KUJIBU MASWALI, AACHA MASWALI MENGI YASIYO KUWA NA...

1:-BABA MZAZI WA MREMBO HUYO HAJUI MWAKA HALISI ALIOZALIWA MWANAE? MBONA AMEKAA KIMYA???2:- WAANDAAJI WA MISS TANZANIA HAWAKUWAHI KUJIRIDHISHA NA VIGEZO KABLA YA KUSHIRIKI KWAKE KUANZIA VITONGOJI??,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA RAIS WA MMI BINGWA WA MASUALA YA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha, Rais wa MMI Bingwa wa Masuala ya Utawala na Uongozi kutoka Bahamas, Dkt. Myles Munroe, na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TANZANIA KUANIKIZA MAFANIKIO YA LFI KWA MATAIFA 8

Mkuu wa ushauri wa ufundi wa Mfuko wa Umoja wa mataifa wa Ukuzaji Mitaji (UNCDF), Peter Malika akizungumza na washiriki wa mafunzo ya uandaaji wa miradi chini ya programu ya Jitihada za Mahalia za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*PRESIDENT KIKWETE VISITS CHINA OIL COMPANY HQ IN BEIJING

 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete visits China National Offshore oil Corporation CNOOC headquarters in Beijing this afternoon. President Kikwete is in China for a working visit. Photo by Freddy Maro

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAAJIRIWA WAPYA WIZARA YA HABARI, VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO WATAKIWA KUWA...

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akiongea kwa msisitizo kuhusu maadili ya Utumishi wa Umma wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TOYOTA IPSUM INAUZWA, COMPRESSOR INAUZWA

Year 2001,Mileage 78200 kwa atakeyehitaji wasiliana na +255 788 000 768COMPRESSOR INAUZWACompressor zipo mbili, model ni Ingersolrand 7/4, 4cylinder diesel engine , year 2005Kwa wanaohitaji wasiliana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KAIRUKI: SERIKALI KUENDELEA KUIWEZESHA TUME YA OPERESHENI TOKOMEZA

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki (MB) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Jaji Kiongozi Mstaafu Hamis Amir Msumi (kushoto) na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BIALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU MSTAAFU WA UBA TANZANIA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ujumbe wa UBA Tanzania ulioongozwa na aliyekuwa Mkurugenzi wake Mkuu mstaafu, General Robert Mbomba,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHANJO YA UGONJWA WA SURUA NA RUBELLA MANISPAA YA ILALA YAVUKA LENGO

 Na Eleuteri Mangi-MAELEZOManispaa ya Ilala imevuka lengo la kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watu 468,297 ambapo awali lengo lao lilikuwa kutoa chanjo hiyo kwa watu 445,801 wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*PUSH MOBILE MEDIA LTD, PARTNERS WITH APALYA TECHNOLOGIES FOR OTT VIDEO...

 Push Mobile Managing Director, Freddie Manento (L) sainging a documents contract with Apalya Technologies International Business, Rishabh Gunjal, Apalya to provide best-in-class mobile video solutions...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MABALOZI WA AFRIKA NCHINI CHINA

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini Beijing China leo asubuhi.Raius Kikwete yupo nchini China kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA BOTSWANA NCHINI TANZANIA IKULU...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana, aliyefika ofisini kwake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAADHIMISHO YA MIAKA 70 YA MFUKO WA PENSHENI WA LAPF KUANZA KESHO JIJINI ARUSHA

 Meneja Kanda ya Kaskazini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, Rajabu Kinande,  akizungumza na Waandishi wa habari mjini Arusha, kuhusu Mkutano wa 7 wa Wadau wa LAPF, unaokwenda sambamba na  maadhimisho ya...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>