Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BONDIA SAIDI MBELWA AMCHAPA GEORGE DIMOSO KWA POINTI

Bondia Georger Dimoso (kushoto) akipambana na Said Mbelwa wakati wa pambano lao lililofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Friends Corner Manzese, jijini Dar es Salaam. Katika pambano hilo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MKUTANO WA CCM KIBANDAMAITI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi na Makamo Mwenyekiti wa CCM ZanzibarDk.ALi Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Wananchi na WanaCCM Kibandamaiti katika mkutano wa Hadhara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHINA TO BOOST BAGAMOYO SPECIAL ECONOMIC ZONE

A permanent Secretary in the Ministry of Finance Dr.Servicius Likwelile, a representative from the Sultanate of Oman together with an official from China Merchants Holdings International sign a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*LULU AITAMBULISHA FILAMU YAKE MPYA YA MAPENZI YA MUNGU, YATUA RASMI SOKONI LEO

 Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU...

View Article

*ENJOY NA VIDEO YA WAGOSI WA KAYA WAJA KIVINGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHANZO CHA MAJI IKORONGO NDIYO MKOMBOZI WA MJI WA MPANDA

 Wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiangalia chanzo cha chemichemi ya maji cha Ikorongo kilichoko kilometa 13.2 kutoka Mpanda mjini. Chanzo hicho kina uwezo wa...

View Article

*KIPAJI CHA MTOTO HUANZA MAPEMA, CHEKI DOGO ANAVYOPIGA PANCHI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AFUNGUA HAFLA YA KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake ya ufunguzi wa hafla ya kuchangia miradi ya maendeleo ya Jimbo la Rufiji iliyofanyika jana jioni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*NECTA YAFANIKIWA KUDHIBITI UDANGANYIFU NA WIZI WA MITIHANI YA TAIFA NCHINI

 Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Bw. Daniel Mafie akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar s salaam kuhusu utaratibu wa kutoa nakala za vyeti kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAZIRI MKUU PINDA AWASILI OMAN KWA ZIARA YA KIKAZI

   Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gwaride baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Muscut wa Royal  Airport kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Oman Oktoba 27, 2014. Kushoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMBO YAZIDI KUNOGA KUELEKEA TAMASHA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL

WASANII kutoka ndani na nje wanatarajiwa kupamba tamasha la Muziki la Kimataifa la ‘Karibu Music Festival’ litakalofanyika kwa siku tatu kwenye mji wa Kihistoria wa Bagamoyo, Novemba 7 hadi 9 mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA MWEZI WA WANAWAKE...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene, wakati aliwasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini...

View Article

*TATIZO LA UMEME KUPATIWA UFUMBUZI IFIKAPO JUNI MWAKANI

NA MAGRETH  KINABO. MAELEZOTATIZO la kutokuwepo umeme katika jijini Dares Salaam hususan maeneo ya katikati ya mji na nje kidogo ya mji na mkoa wa  Arusha, ikiwemo mikoa ya  Mwanza na Shinyanga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS MALINZI KUFUNGUA KOZI YA FUTURO III

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kesho (Oktoba 29 mwaka huu) anafungua kozi ya ukufunzi wa waamuzi ya FUTURO III ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SALUM ABUBAKAR MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA

Kiungo wa timu ya Azam, Salum Abubakar amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inayoendelea kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali nchini.Abubakar ambaye pia ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AONDOKA VIETNAM BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA RASMI YA SIKU MBILI...

 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza (wa pili kushoto), Mbunge wa Ilala na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI, AKOSA DHAMANA NA APELEKWA SEGEREA

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya miondoko ya Hip Hop, Rashid Makwiro, ‘Chidi Benzi’ akisindikizwa na askari Polisi wakati akiwasili katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SOMA HAPA TAARIFA RASMI KUHUSU WAZIRI NYALANDU

 TAARIFA RASMIKatika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye  kichwa cha habari;   KASHFA IKULU;·    Nyalandu atumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*AJALI YA CONTENA LILILOANGUKIA HICE HUKO TEGETA LEO MCHANA

Ajali iliyotokea leo mchana huko maeneo ya Tegeta Kibaoni, ambapo mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa Contena hilo lilikuwa likishuka kutokea eneo la wazo na kuferi breki ambapo lilikata kona ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA UTUMISHI WA UMMA.

 Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bi Claudia Mpangala akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Kongamano la maadhimisho ya Miaka 10   ya Tume hiyo tangu kuanzishwa  kwake ambalo litafanyika katika...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>