Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

*MECHI YA MTANI JEMBE SIMBA INAONGOZA 2-0, MPIRA NI KIPINDI CHA PILI

$
0
0
 Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, akiruka hewani kushangilia bao la kwanza la Simba lililofungwa na Hamis Tambwe katika dakika ya 14, ya kipindi cha kwanza.
 Mshambuliaji wa Simba Hamis Tambwe, akifunga bao la pili kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 44, baada ya beki wa Yanga, David Luhende kumkwatua Ramadhan Singano katika eneo la hatari.
Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu, akijaribu kumfinya beki wa Simba, Joseph Owino wakati wa mtanange huo. Mpira sasa ni kipindi cha pili.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 13053

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>