Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KIGODORO, KHANGA MOKO NDEMBENDEMBE, TISHETI NDEMBENDEMBE ZAPIGWA STOP MISS...

Na Michael Maurus, Dar es SalaamBARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA), limeitaka Kamati ya Miss Tanzania kutohusisha burudani zinazokiuka maadili ya Mtanzania wakati wa mashindano yao ya urembo mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA MGENI RASMI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014 -...

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda kesho atakuwa mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013-14, itakayowakutanisha wanawake wanne itakayofanyika kesho katika Ukumbi wa The...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RIDHIWANI AITEKA PERA, WANANCHI WAAHIDI KUMPIGIA KURA ZA KUTOSHA APRILI 6

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete  akihutubia wakazi wa kijiji cha Pera wakati wa mkutano wa kampeni za Ubunge Jimbo la Chalinze, Ridhiwani aliwaambia wananchi hao kura yao ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BUNGE MAALUM LA KATIBA LAPITISHA AZIMIO LA KURA YA MSETO

Na Magreth Kinabo – MAELEZO, DodomaHatimaye baada ya mvutano wa baadhi wa wajumbe wa Bunge la  Maalum la Katiba kuhusu upigaji wa kura ya siri na ya wazi kuendelea  leo  Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AWATUNUKU TUZO WASHINDI WA TUZO YA RAIS YA MZALISHAJI BORA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washindi walionyakua tuzo mbalimbali wakati wa hafla ya kutunuku Tuzo ya Rais ya Mzalishaji Bora wa mwaka 2013 iliyofanyika katika Hoteli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WANANCHI WA MJI WA KOROGWE WAUPOKEA KWA KISHINDO MPANGO WA TIKA, WACHANGIA...

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Ngalawa akifungua mkutano wa siku ya wadau wa Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA) ambapo Lengo la mkutano huo ilikuwa ni kuchukua maoni yao na kuwaeleza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO KUANDAA KONGAMANO

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yenye jukumu la kusimamia sekta ya Vijana nchini imeandaa Kongamano la Vijana kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu kuhusu Wajibu wa...

View Article

*CHEKI VIDEO MPYA YA WAKONGWE, PROF, JAY, J. NATURE NA JAY MOE, WAMETISHA NA...

Na Dina Ismail, Dar es SalaamWASANII watatu wakongwe na maarufu wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Juma Mchopanga ‘Jay Moe’, Juma Kassim ‘Nature’ na Joseph Haule ‘Profesa Jay’ wamerekodi kwa pamoja wimbo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SHOMARI KAPOMBE BADO NJIA PANDA KUTUA YANGA AU AZAM, SIMBA, MMMH!!!!!!...

Jangwani au Chamazi? Shomary Kapombe anataka kucheza timu ambayo itashiriki michuano ya Afrika mwakani.***********************************************************Na Mahmoud Zubeiry, Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*JAMAA WANAVIJINENOOOOOOOOOO!!!!!!!!!

Hili ndilo neno la leo huku Kitaani kwetu, Eti KAMA GEREZA NI CHUO CHA MAFUNZO MPELEKE MWANAO TUONE......

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAJANGA YA MVUA YA JANA JIJINI DAR

 Roli likiwa limekatiza barabara baada ya kushindwa kupandisha mlima na kuteleza hadi kuingia mtaroni pembezoni mwa barabara ya Goba kutokea Mbezi Luisi, karibu na Mbezo Luxy, kutokana na utelezi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DKT. BILAL ASHIRIKI MAZIKO YA JOHN TUPA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimpa pole mjane wa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara Marehemu John Gabriel Tupa Mama Katherine Msamati baada ya mazishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WATANZANIA WAZUIA MWENZAO MIKE LUKINDO MADISON, WISCONSIN KUCHOMWA MOTO

Watanzania Wisconsin wamezuia kuchomwa moto kwa mpendwa wetu Michael Lukindo aliyefariki Jumapili ya March 16, 2014 wameomba msaada kwa Watanzania wengine waishio Marekani na kokote pale Duniani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RIDHIWANI KIKWETE AZIDI KUWATEKA WANANCHI WA CHALINZE KWA KAMPENI ZAKE

 Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akipokea Kadi ya Chama chga Chadema iliyorudishwa kwake na Bw. Hussein Yahya aliekuwa Katibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MASHALI AMGALAGAZA KASEBA KWA POINTI

 Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikwepa konde la Japhet Kaseba, wakati wa pambano lao kuwania Ubingwa wa WBO uliofanyika kwenye ukumbi wa UBO Africa Mashali.  Sabasaba jijini Dar es Salaam. Katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*'BIG RESULTS NOW' YAKUSANYA MABILIONI KWA KIPINDI CHA NUSU MWAKA

 Msemaji Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ingiahedi Mduma, akizungumza wakati wa Semina maalum kwa 'Mablogger', iliyofanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha, leo Machi 28, 2014. Semina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA ATUA SUMBAWANGA KUANZAN ZIARA YA MKOA WA RUKWA

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (Pichani), anatarajiwa kutua mjini Sumbawanga, leo saa tano asubuhi kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani Rukwa.  Taarifa zilizopatikana kutoka Ofisi ya CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*VIJANA WAUKUBALI 'MUZIKI' WA RIDHIWANI, WAKILI UPINZANI 'KUSHNEY'

Ridhiwani ahakikishiwa kura kata ya MandelaWananchi wa Chalinze wasema dhihaka zinazotolewa na wapinzani kuisha tarehe 6Wafugaji wamuunga mkono.Wapinzani warudisha kadi kama mvuaMgombea Ubunge Jimbo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MGAMBO JKT WALIVYOANZA KUPOTEZA MATUMAINI YA YANGA KUWANIA UBINGWA

Na Mwandishi Wetu, TangaMABINGWA wa Soka Ligi Kuu ya Bara, Yanga Sc, jana wameangukia pua na kurudi hatua moja nyuma katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya baada ya kukubali kichapo cha mabao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WANAFUNZI WA UDOM MWAKA WA MWISHO, WAFURAHIA KUJIUNGA NA PPF

Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele, akitoa mada kuhusiana na huduma mbalimbali zitolewazo na Mfuko huo kwenye semina iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa wanafunzi wa mwaka...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live