*MATUKI BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO 27 SEPTEMBA, 2014 MJINI DODOMA
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samia Suluhu, akiendesha kikao cha Bunge mjini Dodoma leo. Mjumbe wa Bunge maalum la Katiba, Magreth Sitta, akichangia. Mjumbe George Mkuchika,...
View Article*PRESIDENT KIKWETE VISITS CNN STUDIOS IN NEW YORK
President Jakaya Mrisho Kikwete chats with Cable News Network (CNN) 's Richard Quest and Maggie Lake when he visited CNN Studios at the Time Warner Cente in New York. CNN is an American basic cable...
View Article*WAKE WA MARAIS PAMOJA NA VIONGOZI WATAKIWA KUCHUKUA HATUA KUHAKIKISHA WATOTO...
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mama Joyce Banda, Rais Mstaafu wa Malawi muda mfupi kabla ya kuanza mkutano wa Wake wa Marais na...
View Article*POLISI WANASAWAZISHA DANNY MRWANDA
Dakika ya 50, Danny Mrwanda, wa Polisi Moro, anaisawazishia timu yake na sasa matokeo ni 1-1 mpira unaendelea.
View Article*NAPE: MAANDAMANO CHADEMA NI BIASHARA
Adai huuzipeleka picha za vurugu nje ya nchi Adai Chadema wanafanya ili kukinusuru chama chao Awatuhumu kuwatoa kafara waandamanaji Asisitiza laaana ya damu za Watanzania hazitawaacha.
View Article*SIMBA YAKAMWATWA NA POLISI UWANJA WA TAIFA
Beki wa Simba, Nassor Chollo, (no 2) akiruka kumdhibiti mshambuliaji wa Polisi Moro, Danny Mrwanda, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar...
View Article*KINGUNGE ATOA SOMO MJINI DODOMA
Na Magreth Kinabo,DodomaMjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni mwanasiasa mkongwe nchini , Mzee Kingunge Ngomabale Mwiru amesema Katiba bora ni ile itakayozingatia historia mafanikio ya...
View Article*TIMU YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAAGWA LEO KUELEKEA MOROGORO KATIKA MICHEZO...
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamali Watu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. D. Mndeme (kushoto) akizungumza na wanamichezo wa Ofisi yake wakati akiwaaga na kukabidhiwa vifaa vya michezo leo...
View Article*MATUKIO KATIKA PICHA MCHEZO WA SIMBA NA POLISI MORO JANA
Mshambuliaji wa Polisi Morogoro, Danny Mrwanda (kulia) akijaribu kumhadaa kiungo wa Simba, Jonas Mkude, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam....
View Article*YANGA INAONGOZA BAO 1-0 SASA NI KIPINDI CHA PILI
Andrey Coutinho, ameipatia bao Yanga katika dakika ya 34 kwa mpira wa adhabu. Mchezaji mmoja wa Prisons, Jacob Mwakalobo, apewa kadi nyekundu.
View Article*'WAFUNGWA WA MANUNGU YANGA' WAWAKIMBIZA MAAFANDE WA TANZANIA PRISONS UWANJA...
Mshambuliaji wa Yanga, Jenilson Santos 'Jaja' akijikunja kupiga shuti mbele ya beki wa Tanzania Prisons, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa...
View Article*TIMU YA IKULU YAJIIMARISHA MICHUANO YA SHIMIWI 2014
Wacheaji wa timu ya Ikulu wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wao kabla ya mchezo wao kwenye mashindano ya SHIMIWI dhidi ya timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo jana. Mchezo huo...
View Article*HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI KUCHANGIA MFUKO WA BONNAH EDUCATION TRUST FUND...
Mgeni Rasmi katika hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoawa Dar es Salaam,Ndg. Ramadhan Madabida akitoa hotuba yake kabla ya kuanza...
View Article*ZIARA YA KINANA JIMBO LA MLALO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa kijiji cha Kwekangaga ikiwa siku ya pili ya ziara yake katika wilaya Lushoto ambapo alishiriki ujenzi wa ofisi ya tawi la CCM. Katibu...
View Article*EDGAR MUTTA NA WAZAZI WAKE WAFANYA MISA YA SHUKURANI
Padri Evod Shao (kulia) akiongoza misa ya shukurani ya Edgar Mutta (hayupo pichani) iliyofanyika Silver Spring, Maryland nchini Marekani ya kumtolea Mungu shukurani ya kuwezesha kupoma maradhi...
View Article*MICHUANO YA SHIMIWI MJINI MOROGORO
Mfungaji mahiri wa magoli wa timu ya mpira wa pete Ikulu aliyecheza nafasi ya (G.S) Monica Kassy akiwania mpira dhidi ya wapinzani wao RAS Morogoro wakati wa mechi ya ufunguzi ambapo Ikulu walishinda...
View Article*MATUKIO KATIKA PICHA MCHEZO WA YANGA v/s TANZANIA PRISONS TAIFA JANA,...
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho (katikati) akiwa katikati ya msitu wa mabeki wa Tanzania Prisons, wakati wa mcheso wa Ligi Kuu Tanzania Bara jana, uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa...
View Article