Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TAFRIJA YA MIAKA 24 YA MUUNGANO WA UJERUMANI YAFANA DAR

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Ujerumaninchini Tanzania, Egon Kochanke (katikati) na mkewe Wendy Marshall Kochanke wakimkaribisha mfanyabiashara mashuhuli Sir Andy Chande katika tafrija ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HABARI YAZIDI KUCHANJA MBUGA MICHUANO YA SHIMIWI MOROGORO

 Wachezaji wa mpira wa miguu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaaduni na Michezo (waliovalia jezi nyeusi) wakisalimiamana na wachezaji wa Wizara ya maji (waliovalia jezi ya kijani) kabla ya mchezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*FURSA ZA AJIRA KUTOKA MeTL GROUP

Advocates vacancy Internet.pdf by moblogJnr Sales - Swahili.pdf by moblogSnr Sales.pdf by moblogTechnical Psns.pdf by moblog

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WATEJA

Naibu Mkurugenzi Mtendaji waBenki ya CRDB anayeshughulika na Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyadhiyay (kulia) akizungumza na  wateja waliofika katika tawi la Holland House jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO MSIBA WA PROFESSA KIVASI

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Professa Rogath...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WANANCHI WAUNGA MKONO USHIRIKIANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

*Wengi wamependelea visa ya pekee ya utalii, uwezo wa kusafiri ndani ya kanda kwa kitambulisho cha taifa, miundombinu yapamoja na uhuru wa kufanya kazi popote ndani ya Jumuiya. Wananchi wanane kati ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HABARI KUTOKA TFF LEO, TANZANIA KUTOKUWA MWENYEJI AFCON 2017

*TANZANIA KUTOKUWA MWENYEJI AFCON 2017Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefahamishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuwa Tanzania haitaweza kuwa mwenyeji wa Fainali za Afrika-...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BALIMI EXTRA LAGER YATANGAZA RASMI UDHAMINI WA MASHINDANO YA MBIO ZA...

Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mbio za Mitumbwi Kanda ya Ziwa, zijulikanazo kama “Balimi Boat...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TAMASHA KUBWA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL KUFANYIKA BAGAMOYO

Meneja wa tamasha la Karibu Music Festival, Richard Lupia akizungumza katika mkutano na waandishi wa Habari Dar es Salaam hii leo juu ya maandalizi ya tamasha hilo. Meneja wa tamasha la Karibu Music...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MSIINGIZE DINI KATIKA SIASA - RAIS KIKWETE AWAPASHA MABALOZI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na viongozi wa dini alipowasili katika hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam kufungua Mkutano  wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAKALA WA UKAGUZI WA MADINI TANZANIA (TMAA) YAIWEZRSHA SERIKALI KUKUSANYA...

 Meneja wa Maabara kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA) Mhandisi Mvunilwa Mwarabu akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) mashine ya kupimia kiwango cha madini inayoitwa Atomic...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA AUNGURUMA LEO KATIKA JIMBO LA WAZIRI LUKUVI, ASHIRIKI NA WANANCHI...

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi wa kata ya Ilolo mpya jimbo la Isimani mkoani Iringa. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisaidiana na Mbunge wa Jimbo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*VIONGOZI WA DINI WAIOMBEA DUA NJEMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA MJINI DODOMA

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Rehema Nchimbi akihutubia wakati wa dua ya kuiombea Katiba mpya Inayopendekezwa.Vionozi wa Dini toka wadhehebu ya Kiislamu, Kikristo, Wasabato, Wahamadiya, Jamaat...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SHIRIKISHO LA MUZIKI TANZANIA LATOA PONGEZI KWA BUNGE MAALUM LA KATIBA KWA...

Na Anitha Jonas –Maelezo.SHIRIKISHO la Muziki Tanzania limetoa pongezi za dhati kwa Bunge Maalum  la Katiba lililokuwa likiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta kwa kuingiza Ibara tatu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MBUNGE HALIMA MDEE APELEKWA SEGEREA BAADA YA KUKOSA DHAMANA MAHAKAMA KISUTU...

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) Halima Mdee, akipanda gari la Polisi tayari kuelekea Mahabusu Segeea jana baada ya kukosa dhamana katika Mahakama ya Hakim Mkazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA RASIMU YA MWISHO YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA MJINI...

Mwenyekiti wa Bunge maalum la katiba Mhe.Samuel Sitta akikabidhi rasimu ya katiba inayopendekezwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HABARI KUTOKA TFF LEO, BENIN YATAJA NYOTA WA KUIVAA STARS

*BENIN YATAJA NYOTA WA KUIVAA STARSKocha wa timu ya Taifa ya Benin, Olle Didier Nicolle ametaja kikosi cha wachezaji 18 kwa ajili ya mechi dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumapili (Oktoba 12 mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA ATINGISHA KILOLO LEO, AMPANDISHA JUKWAANI KIONGOZI WA CHADEMA AELEZE...

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa Kilolo Mnadani waliojitokeza kumlaki katika ziara yake wilayani Kilolo.MBUNGE wa jimbo la Kilolo mkoani Iringa Profesa Peter Msolla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MKUTANO WA WB NA IMF WAANZA JIJINI DAR

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Bw.Herve’ Joly ambaye ni Mkurugenzi  msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MUTUKIO KATIKA PICHA SHEREHE YA MAKABIDHIANO YA RASIMU YA KATIBA MPYA MJINI...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Mohamed Ali Shein, kwa pamoja wakiinua juu kuonyesha Rasimu ya Katiba...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live