*RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akingoza kikao cha kamati kuu ya CCM kilichofanyika katika makao makuu ya CCM Mjini Dodoma leo.Kushoto ni Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein na...
View Article*MAMA MMOJA JIJINI ARUSHA AMWAGIWA MAJI YA MOTO MWILI MZIMA KISA 'WIVU WA...
Bi Neema Teti, akiwa amelazwa katika wodi ya Hospitali ya Mount Meru, baada ya kujeruhiwa kwa kumwagiwa maji ya moto na jirani yake aliyemtuhumu kuwa anatembea na mume wake jijini Arusha. Na Gadiola...
View Article*HASSAN DILUNGA AANGUKA WINO RASMI WAKATI YANGA IKIICHAPA KMKM 3-2 UWANJA WA...
Meneja wa Yanga, Afidh Ally, akimsainisha Fomu za usajili za TFF, kiungo mpya aliyejiunga na timu hiyo akitokea Ruvu Shooting, ambaye anatarajia kukipiga kwa mkataba wa miaka miwili na Klabu ya...
View Article*AJALI ZA KUELEKEA MWISHO WA MWAKA ZAANZA KUTAWALA, MWINGINE AFARIKI DARALA...
Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza fahamika mara moja, amepoteza maisha leo asubuhi katika Daraja la Kawe lililopo karibu kabisa na Kambi ya JKT, baada ya kupata ajali iliyopelekea gari lake...
View Article*MAMA SALMA KIKWETE AJUMUIKA NA WATOTO YATIMA KWENYE SHEREHE YA MWAKA
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpatia zawadi ya Krismas na Mwaka Mpya Binti Asnah Sudi, kutoka kituo cha kulelea watoto yatima cha Umra kilichoko Magomeni, wakati wa sherehe ya mwaka kwa watoto...
View Article*MAMBO MAKUU ILIYOIBUKA NAYO KAMATI KUU, WABUNGE WAHAHA NA MAFAILI KUHOJIWA...
Nape akizungumza na waandishi wa habari leo.NA BASHIR NKOROMOKamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kikao chake kilichofanyika jana mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete...
View Article*SHUGHULI YA MAZISHI YA MZEE NELSON MANDELA ZINAZOENDELEA KIJIJINI KWAKE QUNU
Kamera ya Globu ya Jamii ipo Ndani ya Hema maalumu ambamo shughuli ya mazishi ya marehemu Nelson Mandela inaendelea hivi sasa katika kijijini Qunu.na kama ilivyo ada ya libeneke la Globu hili kwamba...
View Article*RAIS KIKWETE AWATUNUKU KAMISHENI MAAFISA WA JESHI
Amiri Jeshi Mkuu ,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi Luteni usu Evarist Mawalla wakati alipowatunuku Kamisheni maofisa wapya wa Jeshi la Wananchi Tanzania baada ya kuhutimu mafunzo yao...
View Article*YANGA YAFANIKIWA KUMNASA ALIYEONGOZA MAUAJI YA 5-0 DHIDI YAO EMMENUEL OKWI
Mchezaji wa Kimataifa wa Uganda, ambaye pia aliwahi kuichezea Simba ya Tanzania, Emmanuel Okwi akiweka alama ya Dole Gumba mbele ya Mjumbe wa Kamati ya Mashindo Musa Katabaro (kushoto) wakati akisaini...
View Article*MWENYEKITI WA ZAMANI WA CCM MKOA WA MWANZA CLEMENT MABINA AUAWA NA WANANCHI...
MWENYEKITI wa zamani wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Mwanza Clement Mabina, ambaye pia ni diwani wa kata ya Kisesa wilayani Magu mkoani Mwanza ameuawa na wananchi wenye hasira katika ugomvi wa...
View Article*AJALI NYINGINE BABU ANUSURIKA ANASULIWA NA WACHEZAJI WA VPO
Mmoja kati ya wachezaji wa timu ya Soka ya Ofisi ya Makamu wa Rais, Kibiki (kulia) akijitahidi kutafuta mbinu za kumnasua Dereva wa gari ndogo ambaye hakuweza kufahamika jina lake kwa haraka lenye...
View Article*TIMU YA SOKA YA VPO YAICHAPA ISTIQAAMA MABAO 2-1 KWAO
Kikosi timu ya Ofisi ya Makamu wa Rais Kikosi cha timu ya Istiqaama Meza kuu ya mgeni rasmi, Balozi msaidizi wa Urusi, Vicent Kalchenko wa tatu (kulia) na baadhi ya viongozi. Katibu wa Timu ya VPO,...
View Article*WAZIRI MAGHEMBE AKABIDHI VISIMA 20 VILIVYOKARABATIWA NA TBL WILAYANI MISUNGWI
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) wa mikoa ya Simiyu, Mwanza na Mara, Josephat Changwe, akimwongoza Waziri wa Maji , Profesa Jumanne Maghembe (kulia) kuzindua moja ya visima 20 vya maji...
View Article*ZuRii BOUTIQUE CHRISTMAS SALE IS NOW ON
The Zurii Fashion & Beauty Boutique Christmas sale is now on. Don't miss a trick with ZuRii massive Clearance goodies. We've got great bargains of up to 50% off. Be the envy of your friends and...
View Article*WABUNGE WAPIGWA MSASA KUHUSU CHANGAMOTO ZA MILLENIA NA MKAKATI WA “MATOKEO...
Mtaalamu wa mipango wa shirika la maendeleo la umoja wa mataifa hapa nchini, UNDP, Amon Manyama. (Kulia), akifungua warsha ya siku moja moja iliyoandaliwa na ofisi ya bunge kwa kushirikiana na...
View Article*TANZANITE, BATSESANA KURUDIANA DES 21
Mechi ya marudiano ya raundi ya pili kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia kwa wasichana wenye umri chini ya miaka 20 kati ya Tanzania (Tanzanite) na Afrika Kusini (Batsesana) itachezwa...
View Article*MECHI YA STAND, KANEMBWA KURUDIWA TABORA
Mechi ya Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kati ya Stand United na Kanembwa JKT iliyochezwa Novemba 2 mwaka huu Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga na kuvunjika, sasa itarudiwa Februari 1 mwakani.Uamuzi huo...
View Article*RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA TNBC JIJINI DAR ES SALAAM
Rais Jakaya Kikwete, akifungua rasmi Mkutano wa TNBC uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam jana. Rais Dkt .Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Mwenyekiti wa Tanzania Private...
View Article