Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

*RAIS KIKWETE KATIKA SHUGHULI YA UTOAJI VIFAA VYA KUONGEZA USIKIVU KWA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KIJIWE CHA UGHAIBUNI KUWA HEWANI JUMANNE JULY 23, 2013

 Kipindi chako ukipendacho cha Kijiwe cha Ughaibuni kitaanza kurushwa tena kuanzia Jumanne wiki ijayo July 23, 2013 kipindi hiki kilisimama kutokana na pilikapilika ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*ASANII WA WA KIZAZI KIPYA BONGO FLAVE NA WASANII WA FILM KUFAIDIKA NA SEMINA...

 Kutoka Kulia niMwenyekiti wa TEHAMA Class na Msanii wa Kizazi Kipya Bongo Flave, Inspector Haorun aka Babu akiwa na watalaamu wa TEHAMA(ICT) wapili ni Diana Mtambalike ambaye ni Katibu wa kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UKIMWI LA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Ukimwi, UNAIDS, Michel Sidibe, wakati walipokutana katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UNESCO KWA KUSHIRIKIANA NA MRADI WA SIDA YAENDESHA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI...

Mshauri wa Radio Jamii kutoka UNESCO Rose Haji Mwalimu akifafanua umuhimu wa mafunzo hayo ya Ujasiriamali kwa Redio za kijamii kwa washiriki ambayo yatawajengea uwezo wa kuboresha vipindi vyao na...

View Article


*MH. RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOTEMBELEA KLABU YA SUNDERLAND

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS WA ZANZIBAR DKT.SHEIN AZUNGUMZA NA MWAKILISHI WA UNICEF TANZANIA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania Dk.Juma Gulaid,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumtambulisha Mkuu mpya wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AFUTARI PAMOJA NA WATOTO YATIMA IKULU DAR

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasabahi baadhi ya watoto  yatima walioshiriki katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam leo.Watot yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA WATANZANIA WAISHIO ABUJA NIGERIA, AONDOKA LEO...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya Watanzani ya waishio mjini Abuja, wakati alipokutana nao katika Makazi ya Ubalozi wa Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SCHOLARSHIPS FOR TANZANIAN WOMEN

BackgroundMost of managers and leaders in Tanzania formal and informal business sectors are men. In order to address this gap,Evin School of Management is providing opportunities for Tanzanian women...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HII NDIYO NIGERIA KILA KITU KIJESHI JESHI

 Askari wa Usalama na wa Jeshi la Nigeria, wakiwa wamerundikana nyuma ya gari wakati wakiwa wanaongoza moja ya msafara wa mmoja wa Viongozi waliohudhuria katika Mkutano wa 12 wa siku mbili wa Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*JAJI STEVEN IHEMA NA WAKILI JESSE MGUTO KUONGOZA KAMATI ZA MAADILI ZA TFF

JAJI Steven Ihema na wakili mwandamizi, Bi. Jesse Mguto wataongoza kamati muhimu za maadili za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) zilizoundwa baada ya kufanya mabadiliko kwenye katiba ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WANANCHI SASA KUPATA TAARIFA ZA HUDUMA ZA RITA KWA SMS KATIKA TOVUTI NA...

 Naibu Waziri Angellah Jasmine Kairuki akizungumza katika hafla ya uzinduzi rasmi wa huduma ya mpya ya kidijitali za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) ambazo zitawawezesha wananchi wote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TANZANIA YAPOKEA MKOPO WA BILIONI 87 ZA UJENZI WA VITUO VYA KUHIFADHIA...

 Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa (kushoto) akimpa mkono wa shukrani Mwenyekiti na  Rais  wa Benki ya Export Import ya Korea baada ya  kusaini  mkataba wa mkopo kwa ajili ya kujenga vituo vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HAPPY BIRTHDAY, WAANDISHI JIJINI DAR WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KWA MANDELA

 Keki iliyoandaliwa na Idara ya Habari- MAELEZO  kwa ajili  ya kuadhimisha miaka 95 ya  kuzaliwa  Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Mzee  Nelson Mandela.  Afisa Habari Mkuu  wa Idara ya Habari- MAELEZO,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*LOWASSA AMFAGILIA RAIS KIKWETE

Na Swahili TVAliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa  Edward Lowassa, amemsifia Rais  Jakaya Kikwete kuwa ameweza kuifanya Tanzania kupata heshima  katika ulingo wa kimataifa, aliyasema hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*PRESIDENT KIKWETE MEETS STANDARD CHARTERED CEO ,LIZ LLOYD AT DAR STATE HOUSE

 President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete in conversation with Standard Chartered Bank Chief executive Officer (CEO) Liz Lloyd at Dar es Salaam State House this afternoon. On the left is Head of Corporate...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA MWANDISHI DAVID MAJEBELLE

 Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa aliyekuwa mwandishi mkongwe, David Majebelle. Baadhi ya wanafamilia weakiwa nyumbani kwa marehemu. Waombolezaji. Mwili wa marehemu David majebelle ukiwasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UMOJA WA WATANZANIA UJERUMANI KUSHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA MJINI...

 Umoja wa Watanzania Ujerumani (U.T.U ) Kushiriki katika Festival ya"Brüderschaft der völker " mjini      Aschaffenburg " Ujerumani.                   Kuanzia leo Ijumaa 19 hadi 21 Julai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA TAASISI ZA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ddk. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta, wakati alipowasili kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>