* INNOCENT NGANYAGWA KUTUMBUIZA TAMASHA LA ZIFF 2014 USIKU HUU NDANI YA...
Mwanamuziki Mkongwe wa Rege nchini, Innocent Nganyagwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na show yake kwenye tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo ndani ya ukumbi wa Mambo Club...
View Article*WAPIGANAJI WAVAMIA KITUO CHA MAFUTA IRAQ
Wapiganaji wa madhehebu ya SunniWapiganaji wa madhehebu ya Sunni wamekishambulia kiwanda kikubwa mno cha kusafisha mafuta katika mji wa Baiji, Kaskazini mwa Iraq kwa kutumia mizinga na makombora.Duru...
View Article*WATU 330 WAFARIKI KUTOKANA NA UGONJWA WA EBOLA.
Watu zaidi ya 300 wamefariki kutokana na EbolaMlipuko wa Ugonjwa wa Ebola Mgharibi mwa Afrika umesababisha vifo vya watu 330 tangu mwezi Februari.Takwimu hizo mpya zilizotolewa na shirika la afya...
View ArticleSERIKALI IMEPIGA MARUFUKU UVUTAJI WA SHISHA.
Uvutaji wa Shisha ni sawa na uvutaji wa sigara kulingana na madaktari,Serikali imepiga marufuku uvutaji wa Shisha.Uraibu huo unaohusisha uvutaji wa Tumbaku yenye ladha tofauti tofauti ambayo hutiwa...
View Article*WASHINDI WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) KANDA YA PWANI WAPATIKANA NA...
Majaji wakiwa kazini katika Shindano lililofanyika Kanda ya Ziwa Mkoani Mwanza.Picha na Maktaba.*********************Na Josephat Lukaza - Dar Es SalaamShindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Kwa...
View Article*MASHINDANO YA NGALAWA YANOGESHA TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya resi za Ngalawa wakijiandaa tayari kwa kuanza mashindano hayo katika shamra shamra za tamasha la 17 la ZIFF 2014 linaloendelea visiwani Zanzibar. Picha na Zainul...
View Article*PRIMIA YA AFRIKA YA "HALF OF A YELLOW SUN" YAFANYIKA ZANZIBAR
Dairekta wa filamu ya Half of a Yellow Sun, Biyi Bandele akizungumza na wadau wa sinema kabla sinema yake hajafanyiwa Primia ya Afrika mjini Zanzibar. Kushoto ni mratibu wa majaji ZIFF, Fabrizio...
View Article*DEREVA ASIYEFUATA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI AVUNJA DARAJA LA KINYEREZI
Wakazi wa Kinyerezi, wakishangaa ajali ya Roli lililovunja daraja kutokana na uzito wa gari hilo jana. Sasa wakazi wa Kinyerezi watalazimika kutumia njia ya Segerea na Mongolandege.
View Article*HABARI KUTOKA TFF, TFF, PLAN INTERNATIONAL KUHAMASISHA HAKI ZA MTOTO
*TFF, PLAN INTERNATIONAL KUHAMASISHA HAKI ZA MTOTOWakati mamilioni ya Watanzania wakifuatilia Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil, Shirika la kutetea haki za watoto la Plan International limeingia...
View Article*MZUNGU KICHAA NA RICO SINGLE KUWAPAGAWISHA WAZANZIBAR TAMASHA LA ZIFF USIKU...
Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusala akiwatambulisha wasanii watakaotumbuiza usiku wa leo kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014 ndani ya viunga vya Mambo Club - Ngome Kongwe visiwani Zanzibar wakati wa...
View Article*BALOZI IDDI AZUNGUMZA NA WAANDAAJI WA TAMASHA LA ZIFF
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na Uongozi wa Tamasha la Kimataifa la Zanzibar (ZIFF) uliofika ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Balozi Seif akibadilishana na Mtayarishaji...
View Article*BARAZA LA WAZEE KANISA LA MORAVIAN TABATA LAWATOA HOFU WAUMINI, LAKANUSHA...
Na. Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam.Uongozi wa Baraza la wazee wa Kanisa la Moravian usharika wa Tabata jijini Dar es salaam umekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa...
View Article*WAREMBO WA SHINDANO LA MISS PWANI 2014 WATEMBELEA OFISI ZA TANZANIA DAIMA,...
Mwandaaji wa shindano la Miss Pwani 2014, Khadija Kalili (kulia) akiwapanda warembo wake kwa ajili ya kupata picha baada ya kufanya ziara kwenye Ofisi za Gazeti la Tanzania Daima, leo mchana. Shindano...
View Article*SASA WASHINDI WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) KUANZA KUPIGIWA KURA NA...
Wafanyakazi wa Kampuni ya Proin Promotions katika Mradi wa Kusaka vipaji vya Kuigiza Nchini TMT (Tanzania Movie Talents) wakishangilia kwa kufungua Mvinyo usio na kilevi mara baada ya kumaliza zoezi...
View Article*MAADHIMISHO YA SIKU YA SIKO SELI DUANIANI YAFANYIKA DAR KWA UZINDUZI WA...
Mkurugenzi wa Idara ya Uboreshaji Afya wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dk Sarah Maongezi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kliniki ya watoto wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sikoseli...
View Article*MAKOCHA TUMIENI UJUZI WENU TUWEZE KUFIKA MBALI- RAIS MALINZI
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewataka makocha wa mpira wa miguu wafanyie kazi kwa vitendo mafunzo wanayopata badala ya kuweka makabatini maarifa...
View Article*BALOZI IDDI AKABIDHI MASHUA NA SH. M 4 KUWAFIDIA WAVUVI WA KUVUNGE BAADA YA...
Mashua ya Riziki zina mola iliyonunuliwa na Serikali kulipwa fidia wavuvi wa Kijiji cha kivunge kufuatiwa mashua yao kuchomwa moto katika kisiwa cha Tumbatu. Balozi Seif akimkadhi rasmi mashua...
View Article*AJALI ZA JIJINI DAR LEO, DALADALA LA TEGETA-UBUNGO LAUA SITA NA KUJERUHI 14
Watu Sita wamepoteza maisha katika ajali ya gari (daladala) iliyogongana na Lori eneo la Makongo jijini Dar es Salaam, mchcna wa leo na wengine 14 kujeruhiwa na kukimbizwa Hospitali ya Lugalo kwa...
View Article*SIMBA RUKSA KUENDELEA NA UCHAGUZI
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya kupokea na kuzingatia maombi ya Simba (barua imeambatanishwa), na kwa kuzingatia Ibara ya 26 ya Kanuni za Uchaguzi za TFF toleo la 2013 limeiruhusu...
View Article