Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*ADY BATISTA WA “THE THORN OF THE ROSE” AKONGA NYOYO ZA WAPENZI WA SINEMA...

ADY de Batista (30).ADY de Batista akisaidiwa kushuka kwenye gari na meneja wake Sholey Maqueta mara baada ya kuwasili kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar. Picha zote na Zainul...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*LULU NA JOTI WAFUNGA NDOA KIMYA KIMYA, USIKOSE KUANGALIA MATUKIO YA NDOA...

Hatimaye Msanii Elizabeth Michael maarufu kama Lulu afunga Ndoa ya Kimya Kimya na Msanii wa Vichekesho Lucas Mhavile maarufu kama JOTI. Ndoa hiyo ya Kimya imefungwa siku chache zilizopita katika fukwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*VYAMA VINGI VIMEPANUA WIGO WA KISIASA-RAIS JAKAYA KIKWETE

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com              press@ikulu.go.tz              Fax:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MTEVU AWAKINGIA KIFUA MAMALISHE DHIDI YA BOMOABOMOA TEMEKE

Na Mwandishi WetuBOMOA Boboa ya vibanda vya mamalishe katika eneo la Viwanda la Mbozi, Temeke Dar es Salaam, limezua mtafaruku kufuatia mbunge wa jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kuwakingia kifua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA MRADI WA MAJI WA CHIKONJI MKOANI LINDI

 Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akipata maelezo ya mradi wa maji wa Kwamtokama ulioko Kata ya Chikonji Wilayani  Lindi kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BENKI YA BARCLAYS YATOA DARASA LA AJIRA KWA WANAFUNZI WA UDBS

 Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Anna Chacha (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII,TASAF,NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UMASIKINI...

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza zoezi la kuwashirikisha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini kuibua miradi ya Ujenzi PWP ambayo kwa mujibu wa taratibu walengwa watatumia fursa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AMKARIBISHA MAKAMU WA RAIS WA CHINA NA UJUMBE...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili Ofisini kwake Ikulu jijini Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*YANGA YAWEKA WAZI MAJINA 11 YA WACHEZAJI ILIYOWATEMA MSIMU UJAO

IKIWA tayari dirisha la usajili wa wachezaji limefunguliwa tangu wiki iliyopita kwa timu mbali mbali kuanza kufanya usajili wa wachezaji na baadhi zikiwa tayari zimeanza mazoezi, timu ya Young Africans...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MFUKO WA PSPF WAMALIZA WIKI YA UTUMISHI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

Ofisa masoko wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma'PSPF' Bi, Rahma Ngassa kulia akimkaribikatibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefukatika banda la PSPF wakati wa maonesho ya wiki ya utumishi wa Umma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE ATOA HOTUBA YA UFUNGUZI WA MKUTANO WA CAG JJINI DAR ES SALAAM.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa wakaguzi wa Hesabu za Serikali uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*NEYMAR ANAIPATIA BRAZIL BAO LA KUONGOZA DAKIKA YA 17 DHIDI YA CAMEROON

    Live | 18'     Estadio Nacional Cameroon0 1BrazilNeymar 17'Dakika ya 17, Neymar, anaipatia Brazil, bao la kwanza la kuongoza.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*JOEL MATIP ANAISAWAZISHIA CAMEROON DAKIKA YA 26 DHIDI YA BRAZIL

    Live | 28'     Estadio Nacional CameroonJ. Matip 26'1- 1BrazilNeymar 17'Dakika ya 26, Joel Matip, anaisawazishia Cameroon, dhidi ya Brazil, sasa bao ni 1-1.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*NEYMAR TENA DAKIKA YA 34, ANAANDIKA BAO LA PILI DHIDI YA CAMEROON

    Live | 35'     Estadio Nacional CameroonJ. Matip 26'1 2BrazilNeymar 34' 17' 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*DAKIKA YA 49 FRED NA DAKIKA YA 84 FERNANDNHO WANIPATIA BRAZL MABAO

    Live | 90'+1'     Estadio Nacional, Attendance: 69112 CameroonJ. Matip 26'1 4BrazilFernandinho 84'  Fred 49'  Neymar 34' 17'

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CAMEROON 'OUT' YARUDI NYUMBANI BILA HATA POINTI 1, YAPIGWA NA BRAZIL 4-1

Mshabuliaji wa Cameroon, Joel Matip, akiifungia timu yake bao pekea la kufuta machozi wakati wa mchezo wao wa Kund A, ambapo tayari Cameroon imefungashiwa virago katika michuano hiyo kwa kupigwa mabao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHOCKI AWATIMUA KAZI WASANII WAKE WALIOSHIRIKI ONYSHO LA USIKU WA MWANA DAR...

 Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Choki, akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni.****************************************** Na Sufianimafoto, Reporter, DarMKURUGENZI wa bendi ya Extra...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WASHINDI WA TMT KUTOKA KANDA YA ZIWA NA NYANDA ZA JUU KUSINI WATUA BONGO...

 Washindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kutoka Kanda ya Ziwa wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere, Jijini Dar Es Salaam jana kwaajili ya Kuingia kambini tayari kwa safari ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*NCHI YA BOLIVIA 'NI KAMA TU BONGO' KASORO LUGHA TU

 Kijana wa Bolivia, akifuta kioo cha daladala likiwa katika foleni kwenye moja ya mtaa wa nchini humo, ambapo baada ya kumaliza kufuta kioo hicho huzunguka dirishani kwa dereva na kudai ujira wake,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHINA NA TANZANIA ZAZINDUA UJENZI WA JENGO LA TAASISI YA MWALIMU NYERERE...

 Makamu wa Rais wa China Li Yuanchao (kushoto) na Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda (kulia) kwa pamoja wakizindua jiwe la msingi katika eneo litakapojengwa jengo la Taasisi ya  Mwalimu Nyerere...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>