Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SIXTUS AKUTANA NA WAZEE WAASISI WA CCM

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Sixtus Mapunda, leo amekutana na wazee waasisi wa Jumuia hiyo, Ofisini kwake, Makao Makuu ya UVCCM, Barabara ya Morogoro, jijini Dar es Salaam. na kuwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SIMBA v/s MTIBWA BADO NGOMA NGUMU, MPIRA NI MAPUMZIKO

Beki wa Mtibwa Sugar, Dickson Mbeikya (chini Kushoto) akiondosha moja ya hatari iliyoelekezwa langoni kwake na mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe, wakati wa kipindi chanza mchezo wa Ligi Kuu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*LOWASSA ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MTEMI ISIKE...

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Machifu mbali mbali kutoka sehemu tofauti tofauti hapa nchini,wakati akiwasili kwenye Sherehe za Maadhimisho ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SIMBA YATAFUNA MUWA WA MTIBWA SUGAR 2-0

 Kiungo Mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba (kushoto) akiwania mpira na beki wa Mtibwa Sugar, Shaban Nditi, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AKUTANA NA PADRI ALIYEMWAGIWA TINDIKALI MJINI...

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Padri Joseph Monesmo Magamba, wa Kanisa la Romani Katoliki Parokia ya Machui, alipofika katika Hospitali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WATAKIWA KUWA PAMOJA KATIKA KUENDELEZA MASUALA...

Na Anna Nkinda – MaelezoWaumini ya dini ya Kiislam  nchini wametakiwa kuwa pamoja katika kuendeleza masuala ya kiimani bila ya kuhitilafiana kwani hititafu ndogo huzaa migogoro katika jamii jambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MTEMVU AKABIDHI MSAADA WA MAGODORO 30 HOSPITALI YA TEMEKE

 Mbunge wa temeke  Abbas Mtemvu akikabidhi kwa Lucy Sozigwa ambae ni katibu wa hospitali ya temeke  moja ya magodoro 30 yaliotolewa na kikundi cha akina mama wa  Neema Woman's Power (NWP). Mbunge wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KINANA AIFARIJI FAMILIA ILIYOUNGULIWA NA NYUMBA SHINYANGA MJINI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa pole Nassoro Rashid Tinde mmiliki wa duka la vipuri vya magari Tinde Store lililotekea kwa moto jana usiku,Shinyanga. Katibu Mokuu wa CCM Ndugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MECHI YA SIMBA, MTIBWA YAINGIZA MIL 102/-

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Mtibwa Sugar iliyochezwa jana (Septemba 14 mwaka huu) katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 95,080,000.Watazamaji 16,507 walikata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*PPRISCA CLEMENT ATWAA TAHI LA REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2013

Mrembo Prsica Clement, kutoka Kitongoji cha Sinza (katikati) akipunga mkono kwa furaha baada ya kutangazwa mshindi wa shindano la Redd's Miss Talent kwa mwaka 2013, na kufanikiwa kupata tiketi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BALOZI IDDI ASHIKIA BANGO ZOEZI LA UFUFUAJI WA KITUO CHA UPANDISHIAJI...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiushauri  Uongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuwa na kara kana ya kisasa ya vyombo vya moto  wakati alipoitembelea kara kana ya wizara hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMA SALMA KIKWETE AWATAKA WANAFUNZI WA KIKE KUJIEPUSHA NA MAFATAKI,...

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni  mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) akizungumza  hivi karibuni na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Msimbu iliyopo wilaya ya Kisarawe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TIB YAZINDUA OFISI NA TAWI KANDA YA JUU KUSINI MJINI MBEYA

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro (kulika) akikata utepe kuzindua ofisi za Makao Makuu ya Benki ya Maendelea Tanzania (TIB) ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Tawi la benki hiyo Mkoa wa Mbeya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MHE. LOWASSA AENDESHA HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA MSINGI YA KANISA LA...

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono waumini wa Kanisa la AICT (Africa Inland Church Tanzania) Pastoreti ya Kahama Mjini,wakati alipokuwa akiwasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAADHIMISHO YA 16 YA SIKU YA BIMA YALIVYOFANA JIJINI DAR.

 Naibu Waziri wa Fedha, Janet Mbene (katikati), Kamishna wa Bima, Israel Kamuzora na Mwenyekiti wa Bodi ya Bima, Peter Ilomo (kushoto) wakishangilia wakati wa Maadhimisho ya 16 ya kila mwaka ya  Siku...

View Article


*KIJIWE CHA UGHAIBUNI

KI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SEVERINA LWINGA ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA PERSONALITY 2013

Mrembo Severina Lwinga, juzi alifanikiwa kuwa mrembo wa tano kuingia nusu fainali ya shindano la Redd's Miss Tanzania 2013 baada ya kutwaa taji la Miss Personality 2013. Mshindi wa taji hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC, WATHIBITISHA MAREHEMU Adubo M.Omer HAKUWA...

Adubo Mustafa Omer Enzi ya uhai wakeBaada ya uchunguzi wa zaidi ya wiki tatu,Ubalozi wa Tanzania Washington DC umethibitisha kuwa Marehemu Adubo M. Omer hakuwa Raia wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UFUNGUZI WA WARSHA YA UANDAAJI MKAKATI WA NISHATI TUNGAMOTO (BIOMASS)

 Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava (kushito) akisalimiana na Mike Bess ambaye ni mshauri na mmoja wa waanzilishi wa Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UWAKILISHI KWENYE MKUTANO MKUU TFF

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesema uwakilishi wa ujumbe kwenye Mkutano Mkuu unaanzia kwenye chama cha mpira wa miguu cha mkoa, kufuatiwa na...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>