Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BALOZI IDDI ATEMBELEA KUKAGUA MAJENGO YA SKULI YA SEKONDARI ILIYOTELEKEZWA...

  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar pamoja na Uongozi wa Wizara ya Elimu Zanzibar akitembelea majengo ya Skuli Mpya ya Sekondari ya Wilaya ya Kusini Iliyopo Paje Mtule ambayo Mkandarasi wake ameingia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MECHI ZA UFUNGUZI SHIMIWI HAZINA YAIBAMIZA RAS DODOMA 3-1, KAMBA IKULU (ME)...

 Mshambuliaji wa timu ya Hazina, Seleman Juma (aliyeruka) akimiliki mpira mbele ya beki wa timu ya Ras Dodom, wakati wa mchezo wao wa ufunguzi wa mashindano ya SHIMIWI, uliochezwa leo jioni kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SIMBA YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NYUMBANI NA WATOTO WA MBEYA CITY

Timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, leo imecheshwa kwata na Vijana wa Mbeya city na kuvtwa shati katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliochezwa kwenye Uwanja wa taifa. Katika mchezo huo timu hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*ICCF AWARDS PRESIDENT KIKWETE FOR CONSERVATION EFFORTS

 The President and CEO of Wildlife Conservation Society Dr.Cristian Samper presents the US International Congressional Foundation ICCF Mhenga award to President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete in recognition...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MATOKEO YA UTAFITI WA UWEZO WA MAPATO NA MATUMIZI YA KAYA BINAFSI NCHINI...

Afisa Mwandamizi wa Benki ya Dunia Bw. Richard Martini (katikati) akitoa salaam za Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa nchi za Tanzania, Uganda na Burundi Bw. Phillipe Dongier, ameipongeza Ofisi ya...

View Article


*ENJOY NA VIDEO MPYA YA DAR MONEY FT RICH MAVOKO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika kikao cha ufunguzi cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola jijini Colombo Srilanka leo asubuhi.kushoto ni Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza William Hague....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MO IS THE YOUNGEST IN THE LIST OF AFRICA'S RICHEST- FORBES

Once again a Tanzanian-born Mohammed ‘Mo’ Dewji has been mentioned as one of the Africa’s successful young businessmen at Forbes Magazine. He is the CEO of METL, a large Tanzanian conglomerate with...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*AFRICAN BARRICK GOLD MINE KUKABIDHI MGODI WA TULAWAKA KWA STAMICO

 Waziri wa Nishati na Madini Profesa  Sospeter Muhongo akizungumza na waandishi wa habari  leo kuhusu  makubaliano ya kukabidhi mgodi wa Tulawaka kwa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kutoka kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SMZ YAANDAA MASHINDANO YA MICHEZO 17 KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MAPINDUZI

Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mh. Said Ali Mbaruk akieleza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu michezo mbalimbali itakayofanyika ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS WA ZANZNIBAR DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA ELIMU

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo,katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAYOR JERRY SLAA VISIT ARTIST PAINTING TO SUPPORT DAWATI NI ELIMU

 Local Tanzanian artists painting to Support Dawati Ni Elimu The First of its kind mayoral ball aims to raise TZS 4.98 Billion towards providing desk to 30,487 primary and secondary schools in Ilala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WANANCHI KUAGA MWILI WA DKT.SENGONDO...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu, Dkt.Sengondo Mvungi, wakati wa shughuli ya kuagwa mwili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KITUO CHA KISUKARI CHA ST. LAURENT DIABETES CENTRE CHA ZINDULIWA RASMI

 Muuguzi katika kituo hicho cha St. Laurent Diabetes Centre, akimpima Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Ask. Dk. Alex Malasusa huku Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KAYA CHACHE SINGIDA ZAJIUNGA NA CHF

Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Katala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WANANCHI WA MTWARA WATAKA KOROSHO IUZWE KWA KWA KESHI NA SI MKOPO

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi wa kata ya Mbesa ,kijiji cha Mbesa wilayani Tunduru ,Katibu Mkuu yupo kwenye ziara ya mkoa wa Ruvuma ambayo ameongozana na Katibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SERIKALI KUTUMIA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 219 KUJENGA GATI 4 KATIKA...

Na Fatma Salum-MaelezoSerikali kutumia takriban  dola za marekani milioni 219 kujenga  gati 4 katika bandari ya Mtwara ambapo tayari taarifa ya upembuzi yakinifu imekamilika.Hayo yamesemwa  leo jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*SERIKALI IMESEMA KUANZIA SASA ITAKUWA NA HISA KWENYE MIGODI

Na Magreth Kinabo – Maelezo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospete Muhongo amesema kwamba kuanzia sasa hakuna mgodi utakaoanzishwa bila ya serikali kuwa na hisa .Kauli hiyo imetolewa leo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAZISHI YA BI. MARTHA SHANI NCHINI TANZANIA, SINGIDA

Alex akipewa pole na Shangazi wa Martha.Kwa niaba ya Familia, Kamati ya Mazishi Marekani na Tanzania na ndugu na jamaa wote kwa ujumla tumeona ni vyema nanyi mkaona matukio yote kwani mlishiriki katika...

View Article

*WACHEZA KIKAPU TANGA WAOMBA MSAADA WA KUIPELEKA TIMU MKOANI MBEYA

Na mwandishi wetuMabingwa watetezi wa michuano ya taifa ya kikapu (Taifa Cup) kwa mwaka jana, bado hawajathibitisha ushiriki wao katika michuano ya mwaka huu kutokana na ukata wa fedha.Kwa mujibu wa...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>