Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BREAKING NEEEEWZ!!!! BAADA YA KIPIGO CHA 3-1 YANGA KUITISHA MKUTANO NA...

Wakati uongozi wa klabu ya Yanga umeitisha mkutano na waandishi wa habari kesho (Desemba 22), kocha msaidizi wa mabingwa hao, Fred Felix Minziro amesema wakati wa kupanga timu kwa mazoea sasa umekwisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UZINDUZI WA RIPOTI YA UWEZO

 Msanii Mrisho Mpoto akielezea kupitia mashairi Mama Zaida Mgalla akitoa ufafanuzi kwa ripota wa Uwezo TV Bi. Melania Mhagama Mgeni Rasmi akionyesha ripoti baada ya kuzindua.Wakati ambapo asilimia 100...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*FULL MKANDA MATUKIO YA MCHEZO WA MTANI JEMBE WA SIMBA NA YANGA LEO TAIFA

 Nahodha wa Simba, Haruna Shamte, akiinua juu Kikombe na kufurahia baada ya kukabidhiwa rasmi kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Yanga katika mchezo wa kirafiki wa Nani Mtani Jembe, uliochezwa leo jioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MOHAMED NA ELIZABETH WALIVYOMEREMETA JUZI

 Bwana Harusi Mohamed Mkangala na mkewe Elizabeth, wakiingia ukumbini wakati wa sherehe ya ndoa yao iliyofanyika kwenye Ukumbi wa NSSF Water Front, Desemba 20, 2013. Wanandoa hao walifunga ndoa yao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*EDWARD LOWASSA AFUNGUA TAMASHA LA MADEREVA WA BODABODA JIJINI DAR

 Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwapungia mkono kuwaaga madereva wa  bodaboda  baada ya kumaliza kufungua tamasha lao lililofanyika kwenye Viwanja vya Leaders club Kinondoni, jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KASEBA NA USHINDI WA 'MAGUMASHI' DHIDI YA ALIBABA MASHABIKI WAKE WATAMPONZA

 Bondia Japhet Kaseba, akitangazwa mshindi baada ya pambano hilo kuvunjika katika raundi ta tano. Japhet Kaseba (kushoto) na Alibaba, wakichapana ulingoni.Na Sufianimafoto.comMARA kadhaa mapambano ya...

View Article

*VIDEO YA HOTUBA YA MH. LOWASSA JANA ALIPOFUNGUA TAMASHA LA WAENDESHA BODABODA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UFUNGUZI WA MATEMBEZI YA UVCCM ZANZIBAR MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akisalimiana na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Sadifa Juma Khamis,alipowasili katika  uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*VIJANA WAMPONGEZA JK KUWAWAJIBISHA MAWAZIRI WANNE

MWENYEKITI WA CCM, RAIS KIKWETENA BASHIR NKOROMOUMOJA wa Vijana wa CCM, Kata ya Mabibo, Kinondoni jijini Dar es Salaam, umempongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kwa kuwavua uongozi mawaziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TUJIKUMBUSHE NA ANALOJIA, WAMKUMBUKA HUYU????

Huyu si mwingine bali ni msanii maarufu na mahiri wa kujinyonga nyonga, 'WABOGOJO' aliyapata kutamba siku za nyuma na msanii wa muziki wa Kizazi kipya, Mr. Nice, ambaye kwa sasa amezimika na hajulikani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*KITUO CHA POLISI OYSTERBAY KUBOMOLEWA NA KUJENGWA MADUKA YA KISASA

 Kituo cha Polisi cha Oysterbay, pamoja na nyumba za Polisi wanaoishi katika Kambi hiyo, vitabomolewa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa maduka ya kisasa mfano wa Mlimani City ujenzi unaotarajia kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MECHI YA NANI NMTANI JEMBE YAINGIZA JUMLA YA SH. MIL 422/-

Mechi ya Nani Mtani Jembe kati ya Yanga na Simba iliyochezwa juzi (Desemba 21 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 imeingiza sh. 422,611,000.Mapato hayo ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*YANGA SASA KUSAKA KOCHA MPYA, BRANDTS KUTUPIWA VIRAGO NI KIPIGO CHA 3-1 AU...

Na Leca Kimaro, DarIKIWA ni siku mbili tu baada ya kufungwa na mahasimu wao Simba mabao 3-1 katika mchezi wa kirafiki wa Nani Mtani Jembe kwenye Uwanja wa Taifa, Klabu ya Yanga SC ya jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WINGA WA ZAMANI WA YANGA, EDIBILY JONAS LUNYAMILA HOI HOSPITALI YA MWANANYAMALA

WINGA wa zamani wa timu ya Yanga na Taifa Stars, Edibily Jonas Lunyamila, leo asubuhi amekimbizwa katika hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya matibabu baada ya kusumbuliwa na kifua ambako amelazwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA...

 Afisa habari wa Mamlaka ya  Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Ally Changwila  akiwakabidhi  msaada wa madaftari Rahma Seif na Yusra Yahaya  ambao ni watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha New...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAKAZI WA ARUSHA NA MAANDALIZI YA SIKUKUU YA KRISMAS

 Wakazi wa jijini Arusha wakikwa katika maandalizi ya Sikukuu ya Krismas wakichagua nguo na mahitaji mengine katika Soko dogo la Friends Corner lililopo katikati ya jiji hilo kama walivyonaswa na...

View Article

*KIJIWE CHA UGHAIBUNI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UZINDUZI WA MFUKO WA UWEZESHAJI MJINI ZANZIBAR JUZI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiteta jambo na Wazuri wa Kazi,uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Mwenyekiti wa Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi haroun...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MERRY CHRISTMAS & NEW YEAR WADAU WOTE WA SUFIANIMAFOTO

Mtandao huu wa www.sufianimafoto.com, unapenda kuwatakia heri ya Sikukuu ya Christmas na Mwaka mpya, wadau wote wa Mafoto, Ndugu Jamaa na marafiki popote mlipo Duniani, Marry X-Massssssssssssss....

View Article

*MABASI YENYE UWEZO WA KUTEMBEA MAJINI NA NCHI KAVU KUZINDULIWA NCHINI...

Kampuni ya Transevents Marketing Ltd ya nchini Tanzania kwa kushirikiana na kampuni la Dutch Amfibious Transport (DAT) inayotengeneza mabasi kutoka Uholanzi  yenye uwezo wa kutembea nchi kavu na majini...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>