Quantcast
Channel: SUFIANIMAFOTO
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA MIKA 50 YA MAPINDUZI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein, akikata utepe kuyafungua Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BALOZI IDDI AKUTANA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA UWEZAJI

 Makamu wa Pili mwa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya Kimataifa inayojishughulisha na uwekezaji katika sekta ya Viwanda, Bandari na Viwanja vya Ndege  ya ALTEC...

View Article


*RATIBA YA MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA DKT. WILLIAM MGIMWA

TAREHE 4/ 01/ 2013 MWILI WA MAREHEMU UNATARAJIA KUWASILI UWANJA WA NDEGE WA JULIUS NYERERE TERMINAL II, SAA7: 00 MCHANA. BAADA YA KUWASILI UTAPELEKWA NYUMBANI KWA MAREHEMU MIKOCHENI B.2:- SAA 11:00...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHARLES BONIFACE MKWASA NA JUMA PONDAMALI WAANZA KUKIFUA KIKOSI CHA...

 Kocha mpya wa makipa wa timu ya Yanga, Juma Pondamali (kushoto) akimfanyisha mazoezi kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja wakati wa mazoezi yanayofanyika kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA ALIYEKUWA...

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisani Kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dkt. William Mgimwa, aliyefariki dunia Januari 01,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS WA ZANZIBAR DKT SHEIN AFUNGUA KITUO CHA AFYA CHA BUMBWINI KIONGWE

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kukifungua Kituo cha Afya Bumbwini Kiongwe,Jimbo la Bumbwini Wilaya ya Kaskazini B,Mkoa wa Kaskazini Unguja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*JAHAZI KWENDA KUTAMBULISHA NYIMBO MPYA MOROGORO MWISHO WA MWEZI HUU

KUNDI bingwa la miondoko ya mwambao, Jahazi Modern Taarab, litaanza kutambulisha nyimbo zake mpya mwishoni mwa mwezi huu ambapo mji wa Morogoro utakuwa wa kwanza kupata uhondo huo.Jahazi watafanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AFUNGUA HOSPITALI YA KMKM KIBWENI, ZANZIBAR JANA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kama ishara ya ufunguzi rasmi wa Hospitali ya KMKM Kibweni mjini Zanzibar jana Desemba 4, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kama ishara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAZEE WA FEVA KERO HII HADI LINI?????

 Magari makubwa yakiwa yamepaki kwenye barabara ya Mandela kuanzia TOT  mpaka Mwananchi ambapo imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hii.Hii imekuwa kero kwa watu wengi wanaoitumia barabara ya Mandela...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE NA MAKAMU DKT. BILAL WAWAONGOZA WANANCHI KUTOA HESHIMA ZA...

 Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIWETE ALIPOPOKEA MATEMBEZI YA UVCCM ZANZIBAR JANA

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la Chipukizi kabla ya kupokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini...

View Article

*ENJOY NA MIONDOKO YA HARUSI YA MOHAMED NA ELIZABETH

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WANADMV WACHANGISHA DOLA 22,938 HARAMBEE YA MPENDWA WAO ZAINAB BUZOHERA

Mume wa marehemu Dullah na mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera wakiwa kwenye harambee ya kuchangisha fedha za kusaidia kusafirisha mwili wa mpendwa wetu marehemu Zainab Buzohera aliyefariki Jumamosi Jan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*HUKUMU YA ZITTO KABWE YAPIGWA KALENDA HADI KESHO SAA NANE MCHANA

Monday, January 6, 2014HUKUMU YA ZITTO KABWE KESHO SAA 8 MCHANA, WANACHAMA WAANZA TAFRANIHabari zilizoufikia mtandao huu hivi punde kutoka Mahakama Kuu,  zinasema kuwa Mahakama Kuu imeahirisha hukumu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*UVCCM BARA NA VISIWANI WAUNGANA KUHAMASISHA SERIKALI MBILI 'NGUZO YA MUUNGANO'

Sehemu ya vijana wa UVCCM kutoka Bara na Visiwani wakitembea kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi makao makuu ya UVCCM katika kuadhimisha miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar wakiwa na mabango yenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*CHOKI, MUUMIN NA BANZA WAACHA GUMZO KANDA YA ZIWA

Na Mwandishi Wetu, DarWAKALI wa muziki wa dansi nchini Extra Bongo Next Level 'Wazee wa Kizigo' wamerejea jijini Dar es Salaam kwa kishindo baada ya kuhitimisha ziara ya wiki moja ya maonyesho katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*WAFUASI WA ZITTO NA CHADEMA WAZICHAPA KAVU KAVU NJE YA MAHAKAMA BAADA YA...

Jeshi la Polisi llililazimika kuwatawanya wafuasi wa Zitto Kabwe na wafuasi wa chama cha CHADEMA, waliotaka kupigana baada ya Mahakama Kuu kuahirisha kutoa maamuzi ya kesi iliyofunguliwa na Zitto dhidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*BOFYA HAPA UINJOY NA MY NUMBER ONE REMIX YA DIAMOND FT DAVIDO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*MKE WA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ASHIRIKI MAADHIMISHO YAMIAKA 5 YA...

 Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi  akipokewa na walimu wa Philter Federal School ya Fuoni Meli Tano kwenye hafla ya wazazi wa skuli hiyo pamoja na maadhimisho ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

*RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA DKT WILLIAM...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, leo akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa...

View Article
Browsing all 13053 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>